....katiba mpya inapatikana barabarani.....na ina andikwa na damu....ccm hawawezi kutoa haki hiyo mkononi mwetu....na haki yetu hatupaswi kuomba....ni ndoto kupata katiba bora bila kuforce....so tuwape muda waaze then tukiona changa tu macho twendeni barabarani.
..... katika kutetea misingi ya nchi tuwe tayari kufa au kumwondoa yeyote mwenye kutuyumbisha....tusikubali kuyumbishwa kamwe...WAZALENDO KAMA KUNA UCCM HAPO RUDINI ILI TUDA KATIBA NKW NJIA WATAKAO IELEWA.
....kwani CCM nao si walitoa maoni yao mbele ya tume ya warioba? kama jibu ni ndio so waraka wa rasimu mbadala wa nini?...Rasimu ni ile ilitolewa na tume ya warioba hiyo CCM ni ya MAFISADI....NYIE WABUNGE TUNAWASOMA VIZURI SANA YEYOTE ATAKAYE KENGEUKA ASIJE KULAUMU MTU HAPA...SI MMEONA...
...katika ufisadi kama richmond,epa,ujangili,uharamia,uwizi wa pesa za umma,upendeleo kwa watoto , familia zao,jamaa zao,ukwepaji kodi....mfano katika wilaya nitokako ya rorya ccm ndo wameshika wanaiba mpaka wanasahau fedha walizonazo.....fedha za vijana,hakina mama,miradi yote ndani...kalenga...
Rasimu ni ya Warioba ni aibu CCM kuwa rasimu yake kwani nayo si ilitoa maoni mbele tume?...sasa rasimu nyingine yatoka wapi? je sheria inaruhusu rasimu kuandaliwa na makundi?....CCM inakwenda na punde itatumia mabavu na hapo ndo watabondwa vibaya kwani risasi haitazuia.....na kama wanasikia na...
PCT wametoa ushahidi wa kuaminika...haya Ikulu kaneni hizo saini kama sio za watu wa mapokezi?.Nawashauri PCT wasiache hilo suala likaisha hivyo kwa sababu Ikulu wamekanusha kuwa hawajapokea majina...kuna suala la uwajibikaji hapo...PCT...mimi mtaalam wa nyaraka kama walipeleka barua kwa...
napendekeza serikali tatu sb ni kama za jaji nyalali,jaji kisanga na jaji warioba lakini sb nyingine nikuwa wazanzibar wamegeuza tanganyika shamba la bibi kwa kutoa uraia wa tanzania ovyo kwa waarabu then wanakuja bara na kupata haki za kiraia kwenye kupata mali ya asili kama ardhi na huduma...
Ndio ameondoka........nashangaa mfumo wa elimu ya Tanzania ina politics nyingi na ukweli ni zero... angalia shule za serikali hoi.....hoi na hakuna kitu pale wao ni deal tu za michango ya choo,mlinzi,maji,umeme nk ameondoka sb serikali inataka kuwabeba waliofeli bila kujua kuwa wanaathiri...
....nashangaa mpaka mwanasheria mkuu anaropoka kuwa wajumbe wa bunge la katiba wana haki ya kubadilisha rasimu! nape naye aliropoka hivyo hivyo! nimemsoma vizuri PRO. kumbe wajumbe hawana uwezo huo. ashante pro.
......muungano...muungano mie nadhani hakuna haja ya muungano wa nini?....zanzibar haina chochote pesa,biashara,teknolojia ina udini tu ambao haita saidia katika dunia ya leo...sb ya muungano hakuna tena so nawashauri wazanzibar wawaunge mkono jumbe,moyo na wengine ili zanzibar iwe nchi kamili...
....jamani wa tz vipi!,mnatengeneza katiba ya nchi...mliunda tume ya kukusanya maoni iliyokuwa na wataalamu mbali mbali,wakasafiri kila kona ya ardhi hii,wa tz wakatoa maoni yao...so hayo ya kwenu mnayokuja nayo mmeyatoa wapi?...jukumu la bunge la katiba si kubadilisha maudhui ya katiba bali ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.