kumfanyia mumeo sio utumwa bali ni mapenzi tuu,mwanamke utabaki kuwa mwanamke tuu kama ilivyoumbwa.Mwanamme ana majukumu yake mazito sana kwenye familia hivyo huna budi kumliwaza na vitu vidodgo2 kama hivyo,asikuambie mtu mwanamme anapenda kuhudumiwa na mkewe kama hujui jaribu uone tofauti.Kama...
khe yamekua hayo,mi sitaki ufagilie kitu,ni kweli mtazamo wangu na maisha yangu,kama imekugusa sorry,ila ukweli ndio huo.hell huku utaenda wewe mi simo.
Habari zénu?
Nimegundua wanawake wengi wanaridhika kutandikiwa vitanda na hg.Kwa kweli tunaenda kinyume na maadili,mwanamke pambo la nyumba"haimaanishi kupaka make up tu" usafi wa Chumbani kwako ni jukumu lako mwanamke,mwanamme atasaidia akitaka.Bibi tandika weka shuka nzuri fukiza udi chumba...
jamani kweli roho za watu manne na sim wapi na wapi, wakati sim hiyo hiyo imetengenezwa na binadamu. huu ni ufinyu wa mawazo na ukosefu wa imani.Na mashahidi wanatazama hukumu inavyotolewa kwa wanadamu wenzao.inasikitisha sana.
Mtoto alikuwa na trip za kwenda chooni, mama ikabidi amuulize mwanae "vipi tumbo linasumbua? Mtoto akajibu hapana halisumbui ila m**i yanasumbua tumbo.Hahahaha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.