Haya ndiyo madai ya Uamsho kuuvunja Muungano:
• Wasema bayana kwamba wanataka Zanzibar iwe ‘Sovereign State', ijitawale yenyewe
• Wasema Dar es Salaam ilikuwa ya Zanzibar, maili kumi kuingia ndani, mikataba ipo
• Kiongozi ahoji: Kilomita chache zinakushughulisheni wakati...
Siku chache baada ya UVCCM kudai kuwa uamsho wamo serikalini, taasisi hiyo ya Uamsho imeibuka na kujibu hoja hizo kama ifuatavyo:
---------
Tunawajibu Stiphen Wasira na UVCC
Jana tulisikia kauli zenu na mkasema Uwamsho wapo Serikali, sisi tunayakubali maneno yenu na tunakiri kuwa ni kweli...
Mpaka sasa hakuna ushahidi kuwa yeye ndo mfadhili, kuijua jumuia hiyo bonyeza hapa Kuhusu Uamsho « Uamsho Zanzibar au katika page yao ya facebook Jumuiya Ya Uamsho na Mihadhara Ya Kiislamu Zanzibar | Facebook
Halafu kuhusu habari kuwa amedakwa ni uzushi..
Azan alirudi na kuhudhruria mkutano...
SIJUI KWANINI WANAPENDA KUTUMIA FAKE PHOTOS..
HATA BBC NAO WALITUMIA FAKE PHOTO...SOMA HAPO CHINI
BBC yalaumiwa kwa kueneza picha bandia za kuipaka matope serikali ya Syria
Televisheni ya utawala wa kifalme wa Uingereza BBC imelaumiwa kwa kutumia picha bandia iliyopigwa miaka 9 iliyopita...
Zifuatazo ni baadhi ya tuhuma zilizokuwa zimeibuliwa na CAG kwenye wizara za mawaziri hadi kupelekea kuwaponza mawaziri hawa:-
Mustafa Mkulo:
Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo ndiye aliyekuwa waziri wa kwanza kutakiwa na wabunge ajiuzulu. Mkulo alituhumiwa kuvunja Bodi ya Shirika...
NDUGU ZANGU WA JF; MMESHAHI KUISOMA HII?
Lowassa asipokua rais 2015, mniue AskofuKiongozi mkuu wa kanisa la Last Glory Church la hapa nchini Basileus Ezekiel Mabumba, amesema amepokea ujumbe kutoka kwa Mungu unaoeleza kuwa Waziri Mkuu aliyejiuzuru, Edward Ngoyay Lowassa, atakua rais wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.