Habari wana GF,
Kwa wale waliopo Arusha. Nina uza kibanda cha biashara kipo Arusha pia.
Specification
1. 2M x 2M x 2.5M, kwa maana ya upana, urefu, na kimo
2. Material: bati gumu gauge 18
3. Kina hamishika
4. Bei Tshs 550,000 hata maelewano yapo kwa anaye kihitaji
Anaye kihitaji anaweza...
Mimi siwashangai sana hawa jirani zetu, wapo brain washed, sababu ushindi wa obama kwa nchi yake marekani wao walifanya mapumziko ya kitaifa kwa siki kama mbili hivi. Najiuliza wa amerika, au obama amewasaidia nini wakenya leo?
Tatizo kubwa hapa kwetu sio kocha gani anafaa kufundisha taifa stars, bali ni mfumo mzima wa timu zetu kuanzia ngazi za vilabu. Hata kama tukampa Sir Ferguson hii timu hawezi kuleta miujiza, kwa sababu atawatumia hawa hawa akina J Jabu, Nadir, Ngasa, Ndinti, Dihile, Samatta, Mgosi, kwa sababu...
Sawa kabisa nakubaliana na wewe, sababu hata kama hana lazima alete zengwe, lakini muda fulani ukipita bila kumtafuta atajifanya anakupigia cmu kutaka kukusalimu.
Sina uhakika kama wameshatajwa hawa watu,
Kassim Mikongolo
Salum Mbonde
Zainabu Bongii,
Martha Ngwira,
Resistuta Bukoli - Shinyanga
Mafundi mitambo
Fundi Juma Kengele
James Muhilu,
Noel Namalowe
Crispin Lugongo
Saidi Tunku
Abdallah Mkosolwa
Maderva gari la utangazaji na OB Van
Abdallah...
Ni kweli majimbo ambayo yapo nyuma ki-maendeleo ndio mtaji kubwa wa kwa ccm, tazama singida yote, dodoma yote, wao bado wanashangilia kupata naibu wa spika bungeni wala hawana haja na maendeleo, tazama igunga, tabora yote, mtwara yote , lindi yote, tanga yote, ni maeneo ambayo kwa kweli yapo...
I agree with you!
Issue sio kuwa na condom,
Issue ni matumizi yake na hasa katika mazingira ya ulevi.
Ki mahesabu inaaminika kuwa anae drive the overall sex interaction ni mwanaume
Hivyo mwenye kuamua whether to put on condom or not ni mwanaume, very few women who dare to make sure that...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.