Heaven on earth Mweleze huyo Diamond na girlfriend wake.. tunaupenda mziki wake ila atambue nguvu ya social networks atumie ku post kazi zake na sio "bedroom life". Mambo ya kuungua na mshumaa unayajua wewe. What we deduce they are trying too much to show watu kwamba wanapendana inahusu?? Mambo...
Hili jambo linaumiza sana. Wako wapi wanaharakati....au wao ni siasa tu. Inabidi wake na wategemezi wa wafiwa waandamane.. Wengine wako kwa raha zao wanalipwa mshahara kuhakikisha mambo yanafanyika kwa usahihi lakini hawafanyi hivyo. Sasa hivi wanatoa press release za kijinga kijinga (refer to...
Ni muhimu CDM ikajiweka sawa na kujitofautisha na vyama vingine. Taasisi muhimu kama hii haiwezi kuendeshwa kimagammagam...semeni ukweli...mjisafishe. Wananchi wanatamani chama mbadala ila kwa staili hii mpaka 2015 mtakuwa mmeshatuchosha.
Matendo yenu yanatakiwa yaturidhishe kuwa mko tofauti na...
Colonized minds.................wakoloni kibao wa nini? Africa for Africans... using african solutions. Umesahau facet muhimu sana ya uwakilishi hao unaotaka kuwaletea maendeleo.
Kwa mfano ungeweza kuwa na wanabodi ambao ni Mkiti wa wafanyabiashara wadogo, mkiti wa kikundi cha kinamama...
Shughuli nzima ilikuwa haijapangiliiwa vizuri. Ni lazima muwe na ujumbe mahsusi ili kuweza kuwa convince watu mnachokifanya na sio kuropoka against CCM. Tell us your M4C story. Acheni lugha za kihuni. Jifunzeni protocol! Sio kila mtu anaongea kwa vile tu ni mashuhuri. Sasa kwanini anaaanza...
Hongera sana Mh Dr Ndugulile umetuwasilishia hoja yetu ya Kigamboni vizuri sana. "Kimenuka". Umenifurahisha sana uliposema serikali iache kazi ya udalali.
Nimeolewa miaka saba iliyopita, ila mpaka leo sina hakika kama mume wangu ananipenda kweli au la. Amebadilika mno. Kwa miaka 5 hivi hajawahi kuniambia 'i love you' au kunitajia kitu chochote romantic. Mapenzi yetu yamebadilika sana unaona kama vile anakuwa na wewe kutimiza wajibu tu haonyeshi...
nakubaliana na wewe...mwenzetu akifanikiwa sisi ni kumpiga mawe na majungu tu. Raha yetu tutumikishwe na waarabu na wahindi. Give the man a break! Kila mtu akifanikiwa anakwepa kodi!!! Hii mentality inatumaliza jamani tufunguke..sio kila tajiri ni mwizi.
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiii
Hi thread inaniumiza sana. Nina a profession ambayo nikiamua kuwa self employed ninaweza kutengeneza kwa kiwango cha chini laki 1 kwa siku. Nimeajiriwa mshahara wangu hauzidi shilingi laki 6. Kweli kuajiriwa ni utumwa. Nimejiwekea malengo niache kazi mwaka ujao!!!!!!!:A S...
Hongera Gen X ....ufanikiwe. Unanipa changamoto kwa sisi tuliolalia idea zetu!:A S crown-2: Ila nafikiri pia ingepatikana ya East Africa kwa cargo nayo ingeweza kufanikiwa. Ila sina uhakika kama wasafirishaji wetu wana access sana mtandao.
TFDA fanyeni kazi msilete usanii hapa! Nyie ndio mnaoregister importers wa hizo dawa na mmewekwa kwenye ports kujua nani kaleta nini na batch gani...sasa mnatutangazia sisi ili iweje? wafateni hao watu waziotoe kwenye circulation. Shida yenu mnachumia tumboni tu....mtu akitaka huduma rushwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.