Wana JF tutafakari kwa makini sana! Lengo la mwisho ni nini kwa madiwani kukataa kushirikiana na wenzao?? Mimi mpaka sasa bado sijapata mbadala ya kukaa chini na kukubaliana kumalliza malumbano na kuleta maendeleo kwa wananchi.
Kama kuna jambo la wazi, makao makuu ya chama toeni hoja yenye...
Sasa, Citizen waandike nini kuhusu rais wa Kenya?? Uchumi wao unaelekea 'Uchumi kati' Sisi tunahangaika na kina Rostam, Chenge na EL....!! Wacha wamwandike maana nadhani ulimwengu haujui kuhusu huyu mswahili; Nchi imemshinda kabisaa alafu yeye wala hajali!!!!!
Tukumbuke Mh Sitta alijilimbikizia mali akiwa Spika wa bunge. Sema yote ila kwa swala la kupata faida ukiwa bungeni!! Mh Sitta ni mdhaifu. Hatufai kuwa kiongozi wa nchi hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.