Wadau mwenye kupenda kuwekeza katika kilimo basi anunue shamba ekari 1000 zinazouzwa kwa shs 120,000 kwa ekari katika kijiji cha Isanga wilaya ya Momba mkoani Mbeya piga 0762246322
Mimi siafikiani na Mheshiwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda aliyetoa kauli jijini Mwanza kuwa kwa mazoea waislam waendelee kuchinja. Hebu tuangalie imani zote mbili. Wailslam katika Surat Al-maida yaani meza iliyoandaliwa wanaambiwa kuwa chakula cha mtu wa kitab yaani Mkristo ni halali kwa muislamu na...
Ukizungumza habari za Mwalimu Nyerere kwa Watz walio wengi yeye huongelewa mema tu japo ana mabaya yake kwani shilingi ina pande mbili. Hali hiyo inatokana pia kwa mitazamo kama ni hasi au chanya. mabaya ya Nyerere yanazidiwa na mazuri yake. Sasa tujitahidi kuona mambo yanarekebishwa, ndiyo...
Naomba kusaidiwa kwa hili, leo kila nikifungua website ya Open University of Tanzania yaani www.out.ac.tz kinachokuja ni muziki wa kiarabu.
Nisaidieni niweze kufungua web hiyo.
Haya mambo ndivyo yalivyo kwani Mungu huwatumia hawahawa binadam kutuokoa. Hiyo ni tipu ya kuokoa maisha ujue unapoingiza wazo lako la kishetani la kuangamiza mtu siyo wote watakubaliana nawe mahali pengine watahoji uhalali wa kitendo hicho
We kijana umesema kweli kabisa, tatizo lililopo ni kwamba udaktari ni fani ya kale mno na ina watu wake. Sayansi kawaida wasomi wake wanakuwa na vichwa moko kidogo kwasababu ya kubundia. Mtoto mmoja aliulizwa swali akimaliza shule angependa afanye kazi gani au awe nani alidai anataka awe fisadi...
Mnyukano mkubwa wa biashara ya kahawa mbivu kati ya mabepari wachache na wakulima umetokea na kuiyumbisha serikali. Tatizo ni aliyekuwa waziri wa kilimo Prof. Jumanne Magembe aliyeteua Bodi ya Kahawa bila kuzingatia kanuni za uteuzi matokeo yake ni kurundika wajumbe kutoka kanda moja na wengine...
Uthibitisho uko wapi? Nilitegemea serikali ambayo haijawahi kushindwa jambo kuwaita madaktari kujieleza kwa yale yanayowezekana na kwa yale ambayo serikali inaona haina uwezo ingewaeleza mabingwa hao kwa staha na unyenyekevu mkubwa kwani madaktari nao ni binadamu. Unaposema huna fedha za...
Huwezi sema umempenda mtu kwa hivyo kaa utafakari kwwani mke mwema mtu hupewa na Mungu, kwanza kwa kumuanika hapa tu utamfanya ajisikie vibaya du what are you doing man? Why? Think big
Tukio zima ni aibu kwa serikali ukizingatia limetokea wakati mgomo wa madaktari unaendelea. Hii ni picha inayodhihirisha kuwepo kwa tawala nyingine ukiacha hii ya JK.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.