Amini nakwambia,kama kweli ulitendewa hivo na ile pesa au nguvu yako hukumzulumu mtu,basi hakika malipo yatafanyika kwake kwa njia yoyote ile na mara nyingi Mungu umlipa mtu kiasi asijue kama yale ni malipo kwa aliyemfanyia mwanzo na hata wewe uliyetendwa waweza usijue kama yule "adui" yako yale...
Hongera zao vijana wanaenda kuuaga umaskini "haswa FA" maana AY naamini anamiliki mali zenye thamani zaidi ya hiyo pesa. Lakini pia nikiangalia salio watakalobaki nalo baada ya makato yote si zaidi ya 1.5b kwa hesabu hizi hapa.
2.1b - 18% (kodi) - pesa ya mahakama (sio chini ya 10%) - na...
Naamini mko poa wakuu,
Mi kuna maswali huwa najiulizaga na sijawahi kuyapatia majibu.
1.Nini tofauti ya mchawi na mwanga?
2.Nitamjuaje mchawi au mwanga (dalili na ishara zake)
3.Nini lengo la mchawi au mwanga?
4.Nasikia kuwa wachawi au wanga hawaibi pesa,sasa mbona nasikia uchawi na wanga...
Sasa mimi huwa nawashangaa kitu kimoja tu,kwanini wasiwe nazo wao hizo pesa kisha ndio wao wachague wenye pesa wenzao,ila badala yake yeye yupo home analishwa na Baba na Mama yake kisha anataka mume mwenye pesa kwanini huwa hawalifikirii hili ....??
Yes, dini zote zinashauri hivo. na hata heshima na busara za mtu zinapimwa kutokana na majukumu ya nyumbani kwake,leo hii wewe uko mzima kiafya una miaka zaidi ya 25 unashughuli ya kukuingizia kipato lakini unafanya ufuska ukiangalia gharama unazozitumia kwenye ufuska ni zaidi hata ungekuwa...
Nadhani Wema mwenyewe ukimuona kwa siri,kisha ukamuuliza unaonaje hili umbo lako la sasa na lile la siku za nyuma,naamini atasema anatamani sana siku zirudi nyuma arudishe hii shepu.Hebu icheki hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.