Tupige kelele kwenye mitandao ya jamii kuomba nchi wahisani washurutishe serekali kubadilisha kipengele cha mtuhumiwa kunyimwa dhamana. Sheria ya takwimu ilibadilishwa wahisani WB ilipotunisha misuli. Nadhani EU, USA, UK, WB na IMF wakishwaishiwa wakaunga wingi wa wabunge hautafurukuta. Pia hao...
Ndugu Watanzania na wapenda haki,
Napenda kutumia Jukwaa hili kuwaomba kufungua kampeni ya kushurutisha Serekali Kubadilisha sheria ya uhujumu uchumi. Sheria hii imetumika kama nyenzo kuu ya kutisha na kuonea watu kwa sababu mtuhumiwa ananyimwa dhamana. Leo hii tumeona wakina Manji, Kabdendera...
Hii ni habari nyingine kutoka Gazetti la Financial Times:
Tanzania’s enemies of the state: pregnant young women
In May, when Sarah (not her real name) was about 15 weeks pregnant, she dropped out of state secondary school in the Shinyanga region of northern Tanzania. “It was difficult to...
Hongera ya Kuzaliwa Mange!
Wewe ndio sauti ya watanzania kwa sasa. Pale vyama viliponyamazishwa umetumia nafasi yako kuongelea wengi. Pale vyama vilipokosea umetumia nafasi yako kuvikaripia. Kwa sasa wewe ndio mkombozi, sauti mbadala wa ile ya serekali. Umeifanya vyema kazi ya kuisimamia...
Ndugu watanzania wenzangu,
tumesikia sana hii ahadi ya elimu bure kutoka kwa wanasiasa wengi kwa vipindi vingi mfano Dr Slaa aliitoa hii ahadi 2010 na 2015 Mh Lowassa naye anaitoa. Mi naomba tuitafakari hii ahadi kwa maslahi ya taifa letu:
hii ni ahadi nzuri sana kusikia na hata kuitoa
swali...
Asante kwa mtazamo wako mzuri, lakini hapa kinachofanyika ni ubashiri swali ni je Lowassa akiingia tano bora jambo linalowaogopesha sana wagombea wengine je jaji ramadhani atafurukuta kumgaragaza chini?
Hofu kubwa inayotanda sasa ni lowassa kukatiliwa mbali, na hiyo kukosekana plan b kwake ndio maana kwamba plan a ikishindwa ndio habari yake kwisha,
Ukweli lowassa kajaza sana watu matumaini, lakini mikutano yake haijai kama ya wapinzani. pia kumbuka ushawishi wa lowassa ulishindwa kufanya kazi...
Asante sana kwa kuchangia, ila naona watu kama wawili tayari wanasema jaji ni makamu... mngetufanulia zaidi ili hii ingie vizuri kwenye hesabu za utabiri wa kisiasa. asante sana mkuu
Ndugu wana JF na maGreat thinkers
Muhstahasari wa maswali yangu
Je Lowassa ataingia tano Bora?
Lowassa akiingia Tano bora Je Jaji ramadhani atapata kura za Kumuangusha Lowassa?
Maelezo
Duru za kisiasa zinaonyesha kuwa kuwa rais wa Tanzania ni kati ya Jaji...
Hawa jamaa wananikera sana, kila saa wanasema wamepata wadhamini sijui laki na ishirini n.k wakati fomu tunajua ina sehemu ya wadhamini 450 tu. hii wanatudangaya au wanajifurahisha wenyewe. mimi nashindwa kuelewa nia yao? kama lengo lao ni kutuhadaa ndio hawa hawa watatuhadaa tukiwapa nchi...
Mchunguzi chunguza basi, mfuate katibu mkuu kiongozi mwambie akupe mrejesho wa utendaji wa mawaziri usikie atakuambiaje kuhusu nyalandu. hilo nalo litakushinda
wewe ndio uko tofauti na kundi inakubdi ujishangae kidogo. kaulize wizarani record ya Nyalandu utambiwa ameletea wizara magari mangapi ya kupambana na ujangili, helkopta ngapi na ndege ngapi wizara imepata, wizara imetoka kuwa omba omba mpaka kuwa wizara mama
hahaha napenda jinsi unavyojua kujikausha, uipta limao, maana nahisi kama uliushtukia uzi ungeenda kwa mwingine, lakini wewe kuujibu umekugusa ndugu yangu, wewe ndio wale mbivu hizo sizitaki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.