Hivi jamani hata ukimwita Taahira au mtoto mdogo ukamuuliza kwanini JK kavunja baraza la mawaziri atakujibu nini?
Nani asiyejua kwamba Baraza limevunjwa ili kumnusuru wakupinda?
Kwani CDM kwanini waliamua kumwajibisha Wakupinda kama si kwa vile waliona hawawezi kuwawajibisha MAfisadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.