huyo mama hakuna lolote alifanyalo hapo toka apewe madaraka tena anawaabisha wanawake coz wanaonekana hawawezi kwani anapenda sana uswahili kila muda anafikiria ypo katika taarabu na kilicho mbele yake ni mipasho ona alivyoanzishaga bifu lisilokuwa na msingi baina yake na katibu wake...
kukamatwa kwa jerry ni honi kwa waandishi wenye tabia kama hizo kinachotakiwa ni kubadilika kwani waandishi mara nyingi hawapendi kuangalia upande wa pili wanachojali ni kuanika kashfa za wenzao tu na wao hawazioni zao sasa jerry ameanza wapo wengi watakaofuatia
duuuuuuu hiyo ni kufuru ya kufungulia mwaka, ila dada akumbuke kuwakuna wenzetu wa kilosa wanahitaji mahali pa kulala, vyakula na kama kilosa mbali basi angeenda kutoa msaada hata mbagala maana baadhi ya wale wahanga wa mabom bado wanalala katika mahema
mtoe out sehemu ambayo hamjawahi kwenda kisha muulize kwa upole na kwa kumbembeleza kimahaba kama ndo mzaanza mapenzi atakueleza nje hakufai kunamadudu washa
jamani hapa bongo tuishi tu kumalizia siku zilizobaki suala la askari kuhusika na uuzaji wa silaha ni la siku nyingi na cha kushangaza zaidi hata hao mnaowapelekea malalamiko nao ni miongoni mwa wanaobariki shughuli hizo
ni sahihi coz wengi wa hao walikuwa wanaitaka nafasi aliyokuwa nayo na baada ya kukosa wanaamua kumtafutua visababu kwani walishindwa nini kumuita na kuzungumza naye
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.