Jana nilibahatika kutazama habari za michezo kupitia channel hii ya televisheni.
Nilijiuliza maswali mengi sana, hivi hawa ripota wa habari za michezo waliopo huko mikoani na hata hapa Dar hawana habari za michezo kabisa za kuripoti?
Jana ripota kutoka mkoani Rukwa anaripoti taarifa ya...
Mimi najua ofisi zao zipo pale karibu na Palm beach,ukitokea posta teremkia kituo cha palm beach rudi nyuma hatua chache upande huohuo ulioshukia kuna barabara ya lami ifuate hiyo mita kama 20 hivi au 30 mbele yako utaona jengo la ghorofa moja ama mbili.Hapo ndipo ofisi zao zilipo.Zipo ghorofa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.