anamchakaza wakati hata kwa population ya israel yahwe kazidiwa mbali sana wingi wa waumin....so hata wapalestina wakiisha itabid awaue na waisrael ili wengi ili walau azibe gap
kweli umeshindwa kuisolve hii, mwambie mdogo wako amkubalie, waende lodge ,mkifumania mnamrekodi,, ,,so mkiwa na video zake mdogo wako atapewa favour balaa ili zisivuje
Academy haitasaidia ...cha muhimu ni reforms kwenye mpira...kwenye mpira ni chaka la wapigaji ...ilikuja under 17...wapigaji hawakuipenda ikafia mbele....ukitaka kujua hilo nenda kwenye chaguzi za vyama vya mpira vya mikoa mpaka taifa
hii kauli ni ya roho mbaya sana.....tafuta hela mkuu.....asilimia kubwa hatupewi nafasi za kuwaoa sababu ni hatuna pesa za kuwahudumia ....ukiwa na hela hawakatai
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.