mi nawait amwengue kikwete kugombea la sivyo hakuna democrasia mbona chadema walienguliwa bila manoma?hivi masha alidanganya kwenye pingamizi lake eti eeeeh
wanamlinda coz wanajua lazima atakuwa raisi hata msipopiga kura kwani nyie hamjui hilo?na anatembea na ambulance jamani sheria ya uchaguzi ngumu bora asingesaini kwa mbwembwe wanasingizia eti ni rais c akae ikulu wengine wapige kampeni?hivi kwani analipwa na posho za safari ye na wasaisizi wake...
huyu makamba nae anyamaze tu amedanganywa kiaje so anatuambia raisi wetu ni mbumbumbu kiasi cha kutojua kuchanganua mambo?kama bashe ni raia wa kulaumiwa ni ccm si ndo waliochunguza na wenye dola aache ujinga kwanza mi nashangaa kwanini mpaka leo hajajiuzulu huo ukatibu mkuu haumfai,ila ni...
bora we umesema mwaya ccm ndo mafuska wa kwanza na mwisho hakuna anayewapata wanajua hata ukuu wa wilaya na tuvyeo twa kijinga ndani ya chama wanapewa kwa kulalana so mi naona tuache haya ya nani ana nani mana kama ndo hivyo hakuna anayefaa kuwa kiongozi mana hata msema hovyo alibaka je twajua...
hawa akina rweyemamu ni masikini wa kipato na akili na njaa zao ndo zinazofanya watumiwe ila hawataweza na huyo rostam ni mwizi mkubwa asiejua ni nani hatuhitaji kupelekwa darasani kwa hilo
kinana na makamba waongo si jk mwenyewe alisema hata wafanyakazi wagome miaka nane hapandishi mishahara?mkulo atuletee bajeti tuone kama kweli hawajaedit mana hawa watu wajaja halafu nyongeza mpaka leo haijawekwa eti hiyo ni nrushwa ccm hawatajinasua wote wameoza yani watanzania wanatakiwa...
eti makamba anasemajk anajulikana haitaji mdahalo nani kamdanganya huyu mzee wa bumbuli?jk anajulikana kwa mabaya,ukandamizaji,ubabe na ukosefu wa sera madhubuti wamlete kwenye mdahalo tumpime na wajue hatumpimi rais bali mgombea wa ccm so waache kutupga changa la macho
hahaha we unasema media imshinikize jk kwenye mdahalo halafu wakale wapi we hujaona hadi wanavaa vizibao na kofia za ccm?kwanini tusiseme media yetu ni ccm?
asiejua kuwa ccm hawajiamini na slaa anawatoa jasho ni nani?jamaa alipanik akawa haelewi afanye nini ila dah ni aibu kwa nchi hakuna uchawi wanazuga tu ukweli wanaujua kama hamuamini ataanguka tena
Kiukweli anawajali watoto ila ni ridhiwani kikwete,january makamba na mkewe nyie hamuoni mama nae anatembea kama vip wa nchi?ridhiwani je kweli jk anatisha mungu wangu sijui uzee wangu utakuwaje
Kama kuna ukweli basi JK hafai kuwa Rais kwa awamu ijayo jamani mimi sielewi hivi wapiga kura huwa wanafikiri kabla ya kuweka kura ya ndio kwa mgombea? Tutajua lini kuwa CCM haitufaiiiiiiiiiiiiiiiiiii
mungu wangu hawa watu wanacheza na taaluma za watu ila hawatafika mbali mana aliyenunua degdee hata thinking capacity yake na performance ni ndogo na hata akipewa uwaziri atabofoa hahahaaaaaaaa wapo wengi wafichueni jamani wenye sifa wanakosa ajirasababu yao na ndio wanaoturudisha nyuma kila siku
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.