Kwanza aache kutumbutumbua hayo machunusi ndio zinazoweka alama, itatutumbuka zenyewe zikiiva. Pili aangalie vyakula kama jamii ya karanga, mayai etc yanazidi chunusi, hormone imbalance.
la mwisho atumie sabuni asili kama Dudu Osan, Papaya soap zipo za aina nyingi mno.
Ndio maana daima naomba mwanaume asifanikiwe sana kimaisha, maana kama zereu zinazidi kama hizi. Unasema unampenda sasa kitu gani kilizidi uongeze mwengine........
Achana na hizo.....kama umemeshiba mwambie kuwa aachane na kutuma mipicha yake, you really don't care about her private life. Plus umpe ukweli kuwa unashawishi wenzake vibaya.
Kama huwezi toka kwenye group ....
Huyo atakuwa amekaa benchi sana bila ya mtu, pili time clicking yaani anaona uzee unakaribia na hakuna dalili ya mtoto. Wapo wanaofanya hivyo hata kama mambo yao super.
Kitu ninachoweza kusema huyo mwanamke sio smart watu wanafanya hii kitu in desperation ya kupata mtoto kabla ya uzee. na...
Yategemea na imani yako...I believe in holy matrimony na kuwepo na family yenye heshima. kwahiyo ndoa muhimu na sio uzinifu kila kona na kila mtoto na mama au babake
Fikira zako zisiende mbali, huyo dada hajiamini au hauziki....itakuwa wewe ndo unaempa salamu. Ama sivyo hiyo relationship yenu au kitu gani kikubwa umempa ambacho hakiwezekani kupatikana kwa mwengine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.