Search results

  1. MadameX

    Msaada: Mafuta ya kufanya uwe soft

    Kwanza aache kutumbutumbua hayo machunusi ndio zinazoweka alama, itatutumbuka zenyewe zikiiva. Pili aangalie vyakula kama jamii ya karanga, mayai etc yanazidi chunusi, hormone imbalance. la mwisho atumie sabuni asili kama Dudu Osan, Papaya soap zipo za aina nyingi mno.
  2. MadameX

    Tahadhari: Mshauri wa familia kampa mimba mke wangu

    Si ndoa ilishavunjwa na padri ya huyo mwenye pumu na mkewe...kwasasa si mkewe. Msongo wa nini awaache watu watese maisha
  3. MadameX

    Naombeni mnifundishe jinsi ya kutengeneza mishkaki mitamu na laini

    Unaweza tia paste ya tamarind au yoghort, chumvi, kitunguu saumu, tangawizi na pilipli manga. Aiche kwa muda wa lisaa.
  4. MadameX

    Nisadieni ndoa yangu inavunjika

    Ndio maana daima naomba mwanaume asifanikiwe sana kimaisha, maana kama zereu zinazidi kama hizi. Unasema unampenda sasa kitu gani kilizidi uongeze mwengine........
  5. MadameX

    I'm too lazy to be a housewife

    Kazi za nyumbani noma aisee.....zinachoshaaaaa
  6. MadameX

    Sijui kwanini namchukia binamu yangu

    Achana na hizo.....kama umemeshiba mwambie kuwa aachane na kutuma mipicha yake, you really don't care about her private life. Plus umpe ukweli kuwa unashawishi wenzake vibaya. Kama huwezi toka kwenye group ....
  7. MadameX

    Haka katabia ka dada zetu sijakapenda, 'nipe ujauzito nitalea mwenyewe'

    Huyo atakuwa amekaa benchi sana bila ya mtu, pili time clicking yaani anaona uzee unakaribia na hakuna dalili ya mtoto. Wapo wanaofanya hivyo hata kama mambo yao super. Kitu ninachoweza kusema huyo mwanamke sio smart watu wanafanya hii kitu in desperation ya kupata mtoto kabla ya uzee. na...
  8. MadameX

    Paco Decor amefariki

    Kafia bongo alikuwa mgonjwa na wanazika leo saa 10 sasa hayo ya thailand mbona mapya. Ila hakijulikani kilichomuua maana alikuwa yupo ICU
  9. MadameX

    Kwanini wenye jina hili mwenyezi Mungu kawapendelea?

    Mimi nataka niitwe Janet niwe First Lady
  10. MadameX

    Kwanini wadada wa Bongo Movie kamwe hawawezi kutoka na matajiri wa Tanzania?

    Wengi wanandoa zao au wana watu wao permanent. Hawataki dramas za kwenye social media plus wengi wa Bongo Movie hawa classy
  11. MadameX

    Tanga Sirudi Tena...

    Tanga kuna Forodhani toka lini au umaarufu wa urojo.....
  12. MadameX

    Shilole hajui Kiingereza hata kidogo

    mwalimu wa kiswahili au historia nafikiri ahahaha
  13. MadameX

    Shilole hajui Kiingereza hata kidogo

    Kwani akijue yeye mzungu.......ikiwa Salma kikwete alikuwa na mkalimani kwanini yeye iwe shida
  14. MadameX

    Barabara ya Amerika ya Kusini

    Mbona wauza machungwa wapo tu njiani.....kawaida nashuka vizuri
  15. MadameX

    Ndoa siyo muhimu

    Yategemea na imani yako...I believe in holy matrimony na kuwepo na family yenye heshima. kwahiyo ndoa muhimu na sio uzinifu kila kona na kila mtoto na mama au babake
  16. MadameX

    Simuelewi mpenzi wangu wa zamani

    Fikira zako zisiende mbali, huyo dada hajiamini au hauziki....itakuwa wewe ndo unaempa salamu. Ama sivyo hiyo relationship yenu au kitu gani kikubwa umempa ambacho hakiwezekani kupatikana kwa mwengine.
  17. MadameX

    New Music Diamond Platnumz - Hello

    Hii itabuma
Back
Top Bottom