Mbowe hana umaarufu wowote ni gaidi tu hatabkjasma kalamba miguu ya pilato na kurudi uraiani kuhatarisha Taifa, atueleze Chacha Wangwe nini kilimtokea??
Huyu ni Gaidi tu hata kama katoka baada ya kulamba miguu ya pilato, aje atueleze Chacha Wangwe nini kilimtokea? Vinginevyo sisi kama Jamii bado tutamhesabu kama gaidi hatari sana
Masharti ya Urusi ni ya msingi sana tena ni ya kuungwa mkono na kila mtu mwnye timamu zake. Fikiria Zelensky alivyoua watu wengi waliojaribu kumpinga, fikiria Rais huyo alivyompindua Porochenko na kutesa wafuasi wake, fikiria alivyojipendekeza kwa Marekani na Ulaya na kushiriki kuua Wa Iraq...
Mipasho maana take nini? Siku ukitakiwa kujibu kashfa ya kuita mahubili ni mipasho utakuwa tayari?? Kumbuka leo kwa Gwajima kesho kwako, Dunia ni duara, na Cyber crime haina mwenyewe
Nimeshuhudia clip ambayo imenishangaza, Wananchi wakionesha hasira zao mbele ya Mbunge wao wa miaka mingi, wakidai kutomuona kwa miaka mingi, Hii inanipa mashaka kama Uhai wa Chadema bado upo imara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Zitto kuongozwa na hisia kwamba eti ccm huenda itatumia Mkopo kutoka WB kujinufaisha kisiasa kwa kudanganya wapiga kura CCM ndiyo imetoa hela zake kusomesha Watoto, ndizo zinatosha kuhamaki na kwenda kuichonganisha Serikali na WB ? Je nini Afya ya Jitihada za Zitto kwa Taifa?
Sent using...
Kilichoandikwa humu ni upuuzi na ujinga na upumbavu mtupu. Hivi Mwenyekiti wa SADC anapata wapi mamlaka na kwa sheria ipi kuingilia mambo ya ndani ya nchi ya Malawi? Je Waziri wa mambo ya nje anahusikaje kwenye maamzi ya mahakama ya Mslawi? Ama kweli mtu akifilisika kisisa hugeuka juha
Sent...
Kutukana matusi ya nguoni hakuondoi ukweli kwamba Mbowe alifeli form iv na kupata div. zero, na kuvutwa BoT na Mtei baba mkwe wake, na yakamshinda akakimbilia u- DJ. na baadaye kuongoza SACCOS ya Baba mkwe wake. Kama akili zinakutosha utathubutuje kusoma barua ya siri hadharani? Ni ubwege
Sent...
Kitendo cha Mh.Zitto Zuberi Kabwe kuandika barua kusitisha mkopo kutoka benki ya Dunia inaweza kuwa enjoy mwisho wake kuwa mbunge, Watanzania wote isipokuwa vibaraka wachache sana ndiyo wanaomuunga mkono hata humu mitandaoni wamo.
Kapoteza imani siyo miami
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mwehu, Rais ameshauri kwamba kuna fedha imebakia katika MoU, Hivyo wakumbushe. Tayari Wewe umesharukia kwenye kujitegemea. Uliwahi kuona wapi Taifa lisilokopa, lisilopata misaada toka nje? Wewe ni lofa wa akili.
Mikutano ya Chadema kwa 98% huwa ni haramu, kwani haina tija, imejaa uchochezi, ufitinishi, na ingefaa wapigwe sana, wavunjwe miguu, wasweke lupango, na wazeekee huko.
Wewe huyo Sultan wenu wa Chadema mbona hamuachi kumsifu? Mwenyekiti kwa miaka zaidi ya 24 eti bad mnamchagua !! Halafu mnajinasibu hiyo ni Demokrasia !! Wajinga ndiyo waliwao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.