Mimi ni mkimya hasa kwa watu wagen kwangu ila mkimya kias kidogo nyumbani. Ila megundua ukimya umenifanya baadhi ya watu siwez kuongea nao kabisa wala kuwa nao karibu.
Sifa mojawapo ya watu wakimya hupenda kusikiliza kwa makin na kuzisoma tabia na hisia za wengine hivyo hujikuta wale ambao...
HIVI HIZO BIKIRA WALITOLEWA NA MITI AU NA WANAUME? ukimtoa bint bikira na ukamuacha uctegemee kupata bikira uoe. binafsi ctak mambo ya kuanza kufundishana mtu hadi jins ya kutanua miguu na kutumia mijinguvu mingi kugegeda saiv nna mambo mengi ya kufanya, napenda wazoefu kukunawa na romance za...
tatizo vichwa havitaki kutimiza wajibu na wakati huo huo vinataka wanawake watimize wajibu wao hapo ndo sebene linapoanza hata ningekuwa mimi ckubali, mpende mke wako,timiza wajibu wako uone utamu wa ndoa.Mwanamke ameagizwa kukutii tu na hawezi kukutii wakati kichwa chenyewe ni tope. mi nafikiri...
yaani ni kama wako kutunga sheria za kijiji.
masikini! asilimia kubwa hawaelewi hata tofauti ya katiba na sheria, wasomi wako wapi jamani wakatoe semina?
hapa umenikuna, mimi mwanamke akiwa anajiamini kwenye maamuzi yetu bila kushirikisha mashost hovyo hovyo watu watasema amenipa limbwata. ila mi napenda mke mchangamfu wa kupeana viutani vya hapa na pale sio mkimya( mpoleeeeeeeeee!) ananiboa kishenzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.