Tukiwa la kwanza tunafundishwa kusoma. Herufi "Dd" ikawa imewekewa mfano wa "Debe" sasa jamaa mmoja akawa hawezi kusema Debe yeye anasema Bebe. Ticha alimchapa muda mrefu sana lakini jamaa akaendelea kusoma Bebe. Alikuja kufanikiwa tukiwa la pili
Kwa nini unasema visima vya Saudia vimeshambuliwa na Iran wakati Houthis wamekiri ni wao. Jaribu kufatilia source tofauti tofauti za habari. Main stream media wanapotosha sana kwa maslahi wanayojua wao
Nakubaliana na wewe, kibongo bongo sijapata kuona jijana mwenye uaminifu wa kiwango hiki. Binafsi sijawahi kumuona physically lakini tushafanya biashara kibao na hajawahi niangusha
Mungu yupo, ndo maana ulimwengu na vilivyomo viko precisely balanced kwa namna ambayo siyo co-incidence tu bali kuna super natural being iliyo_ au inayo control. Wanasayansi wana mwita "Mother nature" lakini ndo huyo huyo Mungu.
Mi naona dini has nothing to do with Heaven or Hell but rather a...
Umenena vyema sana mkuu. Kwamba ikishindikana kabisa kubaki njia kuu basi chepuka kwa usiri wa kiwango cha lami mkeo asiwe na mashaka hata kidogo na uaminifu wako kwake. Yaani unaweka mazingira mkeo akuamini kuliko hata kiongozi wa dini. Of coz unatakiwa pia uwe na mchepuko amabye ni mstaarabu
Mimi ni mnazi wa masuti ya mbali hivyo na wa miss pia
Michael Ballack
Frank Lampard
Steven Gerald
Michael Essien
Deco
Nedved
Scholes na
Tosten Frings
Hawa jamaa usiombe wakutane na mpira una ambaa ambaa mita 20 hadi 30 kipa ataona nyotanyota tu.
Kwa kipa nammiss Oliver Khan
Bro mi nakupongeza sana, vijana wanaponda maana hawana jicho la tatu la kuona complex phenomena kama hizi. Mi hata kibaka au teja akiniomba hela ya kula namnunulia tu msosi wa maana hadi anashangaa. Najua maana ya njaa. Kabla sijatoka nishaumwa sana njaa hadi kulia machozi. Kwa hiyo hata nikiona...
Few days back Rais Putin kasema "Business is for the customers not the businessmen" kwa hiyo kuna mazingira mengine ukimfungia mtu biashara yake unaathiri jamii kuliko hata manya biashara mwenyewe
Ukifunga biashara ya mtu ni mbaya kuliko hiyo kodi aliyokwepa. Ni vyema manya biashara akikutwa na kosa la mazingira kama hayo wambane kwa namna ambayo faini italipwa bila kuweka hatarini biashara yake. Yaani suala la kufunga biashara ya mtu liwe option ya mwisho kabisa, yaani bora hata kumfunga...
Shida ni kwamba mamlaka zetu mbali mbali eg TRA hawatumii busra na logic kufanya maamuzi. Wao wakifunga biashara za watu na kuwafilisi ndo wa naona hapo kazi imepigwa. They are not friendly at all. Na hii siyo TRA pekee, almost everywhere. Ni kama tabia flani hivi specific kwa Tanzania...
Uko sahihi mkuu, ila somewhere somehow physical address ni mihimu. Mfano kuna kampuni inataka kumtumia kama wakala wao ambapo itahitajika hadi kusaini mikataba n.k. unadhan itawezekana bila kuwa na ofisi. Kwa hivi vi-item vidogo vidogo havina shida ila kwa deal kubwa kubwa inatakiwa ofisi. Of...
Mkuu hili ni group dogo kati ya mimi, agent wa huko China na agent wa hapa ambaye ndo huyu mwenye uzi. Mimi na-deal na issue za kufuga samaki hivyo bidhaa zangu nazoagizaga nyingi ni za mambo hayo. Wewe check tu na mwenye uzi huu he is more than reliable wala hutojutia. Actually sijui hata sura...
[emoji120] [emoji122] [emoji122] Nashkuru mzigo wangu umefika salama na pump zote ziko in good condition. Looking forward to doing big time business together in the near future man.
Nakupongeza pia ulifanyia kazi suala la ofisi, inaongeza confidence kwa wateja.
Strength yako kubwa upo kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.