Bilionea Dowans atua
• Asema sasa yuko tayari kufikiria kupunguza fidia
na Mwandishi wetu
UTATA kuhusu umiliki wa kampuni ya Dowans Holdings SA ambao pia ulikuwa ukizingira suala zima la fidia ya dola za Marekani milioni 64 (sawa na shilingi bilioni 94) ambayo kampuni hiyo inapaswa...
[B]Wana jamii mwenzenu nipo mbali na Runinga na kwa kazi ya leo sitakuwa na uwezo wa kucheck hata TV (Vijijini) Naombeni updates za huko Dom Bungeni.. Nasikia Prime Minister ameapishwa, vipi msimamo wa Chadema, walihudhuria, au kuna lipi jipya.
Yaani hapa hakuna ubishi, hawa ndio mawaziri watarajiwa, Jei Kei kafanya makusuidi hapa ili waingie bungeni mapema waapishwe then yeye next week akichagua baraza la mawaziri awaingize.........hii kazi kweli kweli
Ungejaribu kukataa kumpisha then uone mkono wa dola la Jei kei... naona ungefia segerea
Ila hata mimi ningeafiki chadema wangesusia speech kwa kuwa hawamtambui rais, ila ninachohisi watabaki bungeni ila hawatasupport hotuba yake, kama walivyouchuna jana kwa Pinda
Wana Jamii, Nimekuwa na tatizo kubwa katika kutafakuri na kupambanua juu ya Siku hii Ya Eid Al- Hajj, mimi ni muislam ila nashindwa kuelewa kwanini Eid hii inasherehekewa siku mbili tofauti hapa tanzania? Maana kuna watu wanaochinja,(hata nchi jirani za wenzetu leo wanachinja) na ndio maana hasa...
Ndo wale wale tu wa CCM, yupo chini ya CCM huyo, na ndio maaana alijifanya kutabiri kifo kwa maraisi tena akasema watakao mpinga JK, hakukuwa na lolote zaidi ya kuwatishia watu na kuwatia woga wa kugombania nafasi... na vile vile kuwafanya wananchi wajiandae kisaikolojia kumpigia kikwete.. Hivi...
Kinachoangaliwa na kukubaliwa na jamii ni uwezo wa mtu na c jinsia aliyonayo... Kama Migiro ni msafi na ana uwezo , basi hata jamii itasupport kugombea kwake, na si suala la eti kufanya hivyo ni kufumba macho ya wananchi juu ya kashfa za chama tawala. Sasa wananchi wenye uwelewa hawadanganyiki...
Aaa jamani bunge la mwaka huu, sijui.. maana wabunge wapenda nani hii itakuwa hawajadili miswada bali wanawazia vikuku baada ya kikao wafuatilie... hehehehehe... basi hata sheria za bungeni hawa wadada hawazijui jamani?
Hii kali kweli... ukisikia chama tawala ndio hicho bana, kwao gharama si kitu ... kununua magazeti ya kumchafua mtu hata kwa milions, kumpa mtu milions ati aseme ungo kwa kumponda mpinzani, kuwafunga midogo wenye haki zao ili wasifike kwenye vyombo vya sheria... duh.... utawala bana, ni silaha...
I wish this article could be translated into a brochures and distributed to all regions of Tanzania, so everyone could read and see this fuckin' promises of CCM.
I'm truly agreed with the writter on how come the ruling party continues to make promises while those promised in 2005 have not yet...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.