Da don't jock ni kusikitika a degree holder anapiga picha kitaa jambo ambalo hakuwahi kuwaza kulifanya katika maisha yake ,
Mwingine anasema watu wanasoma degree zisizo na ajira jambo ambalo sio kweli bcoz chuo kinapotaka kuanzisha degree flani lazima ipitishe serikalini ili waruhusu kama kweli...
Naitwa andrew ramadhani nipo tabora manispaa kazima sekondary nahitaji kubadilishana na mwalimu yeyote toka mwanza mjini , morogoro mjini, kibaha na dar es salaam yeye aje tabora nanispaa
Home maid anahitajika awe na uwezozuri wa kupika na kufanya usafi hasa wa ndani ya nyumba. Nyumba haina mtoto wala mwanamke hivyo Maneno Maneno hakuna hapo ni kazi kwa heshima na uaminifu. 0766220722 Ni contact
Andrew r. Tabora manispaa aliye tayari kuja manispaa ya tabora mjini tuwasiliane mimi niende pwani- kibaha, dar es salaam, morogoro manispaa au moshi njini. 0766220722/0719713234
Unaweza kufanya kazi za kuwlimisha jamii kwa njia ya mihadhara juu ya mambo mbali2 elekevu? Na upo tayar kufanya kazi hizo remote area japo kwa mud mwingi mnakuwa claster centre?
Kikundi cha WAADU kinahitaji madereva waaminifu , na wanaoweza kutunza pikipiki vizuri, kwa wiki kila mmoja atatakiwa kutoa elfu arobaini(40) na kila jumapili mkurugenzi atasimamia umwagaji wa oil.
Sifa za mwombaji
1, Awe ana leseni na cheti cha udereva kutoka chuo kinachotambulika na serikali...
Kufungua mashitaka kwa watakaokutwa na makosa yanayohusiana na uhamiaji , kutunza mafile na majalada mbalimbali za uhamiaji , kusindikiza watuhumiwa wa uhamiaji mahakamani. , kusindikiza wahamiaji haramu wanaporudishwa makwao, kuendesha oparesheni za kiulinzi maeneo yanayoweza kutumika...
Natwa ANDREW R. NATAFUTA MWALIMU WA KUBADILISHANA NAE KITUO CHA KAZI AJE TABORA MANISPAA. MIMI NAHITAJI ARUSHA, MWANZA JIJI, DAR ES SALAAM, PWANI,, MOROGORO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.