Yani mkakati mzuri wa Ukawa utaifanya CCM ikienda kwenye uchaguzi October washindwe kuamini wakati wa kuhesabu kura kwa sababu raia wengi wa below 45yrs wanaunga mkono Mabadiliko
yaani gazeti lenye waandishi wenye akili mgando unapost habari zake humu? Waendelee kujifariji tu kuwa Chadema/Ukawa kuna vita siku watakaposhtuka watagundua wamechelewa sana sana
Kamanda makini, mwenyekiti makini na chama makini. Wewe ulitaka asemeje, watu wakae wapange strategies za kushika dola halafu wewe utoke ukawasiliane na magamba na kuvujisha siri bado watu wakuchekee tu, kamwe haiwezekani na kama inawezekana labda kwa magamba na vyama vibaraka wa magamba kama...
Yaani kama katibu mwenezi wa chama tawala uwezo wake wa kujieleza ndo huu ni jambo la kufedhehesha kabisa, porojo nyingi utadhani unawaimbia watoto wa chekechea!!! Shame on you
Wapi na wapi uliona pesa ya Uswisi inarudishwa wewe MBULULA? Pesa ya kina Mobutu, Mubaraka, Nguema, Ferdinand Marcos na wengineo hela yao ilirudi lini? Unaifahamu Uswisi au unaisikia tu?
Kwanza watu hawagombanii urais au ubunge au udiwani, ila huwa wanagombea. Pili dalili unataka uzione wapi? wewe unataka ualikwe kwenye vikao vya kamati tendaji za vyama vinavyounda ukawa ili ujue kuna dalili au hakuna? Au ulitaka wapigane vijembe kama magamba? Na je kwako wewe Tz hii upinzani ni...
Red brigade na Blue Guard wa CUF sio tu wanatakiwa kuwepo ila wanatakiwa kuboreshwa na kuimarishwa zaidi ili kupambana na wahuni wa Green Guard wa magamba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.