Kwa hiyo unataka kutuambia lowassa siyo fisadi na wewe!!!hii nchi ina mijitu ya ajabu sana aisee,hivi anawapa nini huyu lowassa mpaka hata mkajitoa akili kiasi hiki??hili swali hata rafiki yangu kubenea namuuliza pia,hana majibu.
chadema mnyang'anyeni kadi huyu mtu,sio chadema mwenzenu huyu kutokana na matendo kauli na kampeni zake za wazi na za kudumu kwa kada wa ccm..chadema ndio maana inachelewa kufanikiwa kutokana na kuwa na watu wengi wa aina ya huyu jamaa,wanaojifanya wapinzani kumbe wanaipenda ccm kimtindo,watu...
kweli jamaa anamsaidia sana fally,ni meneja wa ukweli kazi yake anaijua hasa ndio mana fally kwa sasa ndio anaongoza kwa kupata kazi nyingi ndani na nje ya africa kuliko kaka zake kina Jb,werra,koffi,wazekwa n.k.,game ya muziki wa congo ni ngumu sana kutoka,mtaona wengi wamejaribu lakini...
Meje na cindy wanamchuano mkali ambao umezaa biff kwa sasa kati yao,lakini hilo biff linakuzwa na koffi olomide:koffi anamchukia sana meje 30 kwa kuwa meje aliwahi kuwa kwenye moja ya bendi ya koffi kama underground pale,sasa koffi kama kawaida yake akawa anataka kumtumia au inawezekana...
Huu wimbo ni wa majonzi lakini koffi na cindy wake wameimba kwa kupokezana vizuri sana.Wimbo huu koffi na cindy waliuimba maalum kwa ajili ya maombolezo ya kifo cha mdau muhimu sana kwenye muziki wa congo mamaa EDITA SASSSOU NGUESO a.k.a.editha mwana ya sassou mwasi ya mokonzi,huyu alikua ni...
Hujasikia chadema ina wabunge wengi zaidi nje ya kilimanjaro na arusha kunakoaminika kuwa na wachagga wengi?hiki ni kielelezo tosha kwamba la ukabila halipo tena,hili la udini ndio issue japo ccm wanalikuza zaidi wakati chadema wamelala usingizi hawalishughulikii kama ccm...
Hebu sema sawa sawa,hizo nyumba ziko vipi msimbazi kongo na kipata?elekeza kama mzawa wa kariakoo,mfano unasema kipata,je kipata na living stone,kipata na nyamwezi au kipata na nini sasa,vivo hivyo msimbazi na hiyo congo maana msimbazi na congo kongo kukutana kidogo muhali,weka wazi tukujue kama...
Hii ya uchagga na ukristo hata mimi naipinga,ni siasa za maji taka za makada wa ccm kuwapakazia wapinzani wao ili kuwachanganya wananchi,kwa kuongezea sio tu kwamba Bob Makani mwenyekiti alimtangulia Free hakua mchagga,bali hakua pia mkristo,Bob Makani ni muislam.
Anapima upepo tu asikie tutasema nini,hana jeuri ya kuachia ngazi kirahisi namna hiyo,japo nasikia nasikia anataka kugombea urais ili apambane na mchovu Lowassa kwa kuwa anajua atamshinda kirahisi
ANC's Julius Malema lashes out at 'misbehaving' BBC journalist
Furious youth leader ejects reporter from Johannesburg press conference calling him a 'bloody agent' with 'that white tendency'
reddit this
David Smith, in Johannesburg
guardian.co.uk, Thursday 8 April 2010 11.47 EDT
Article...
Kwao kabisa ni Bagamoyo na Msoga, lakini akiwa Dar es salaam kwao ni hapo mtaa wa Tosheka magomeni nyuma ya ule msikiti mkubwa unaotazamana na kanisa pale kwenye trafic lights za magomeni, kipindi kirefu cha ujana wake amekitumia mitaa ile akisoma kibaha na baadae chuo kikuu mlimani.
Hata baada...
Nawewe acha ufala wako, hebu kuwa open minded kidogo,if u christian or muslim is up to u....dini ya mtu inatusaidia nini sisi hapa,kwani umeambiwa tunataka kuungama hapa?...sisi tunamtafuta kijana wa kibongo wa aina ya Julius Malema,kama unae tutajie tumchambue,mbona unachanya taarifa kaka!rudi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.