Sitegemei leo nimuone Mzee Mwanakijiji akimkubali Lowassa hata kama atakuwa huku Ukawa, ninacho kiona ni kitu kama chuki binafsi na kinyongo kisicho kwisha, anakumbuka ilikuwa ni miaka miwili baada ya Lowassa kujiuzulu hukusiana na Richmond na hakuwahi kuongea kwa kipidi chote hicho, Kuna siku...
My E Lizaboni How many times do I have to tell you
Even when you're crying you're beautiful too??
The world is beating you down, I'm around through every mood
You're my downfall you're my muse
My worst distraction, my rhythm and blues
I can't stop singing, it's ringing, in my head for you.........
Ukiwa ccm sijui akili huwa zinaruka, embu rudia nilichokiandika acha kuweweseka, hakuna mahala nimesema Tanzania ni Libya..
Nilichosema ni kwamba "hata Libya waliwahi kuishi kwa amani" kama umeshindwa kujua tafsi ndogo tu ya sentesi hii nikuweke kundi gani?
Unaposoma comment ya mtu funga...
Kwa namna yoyote ile hata kama tunayataka sana madaraka na ni lazima kama baadhi ya watu wanavyojiaminisha, lakini tunakoelekea na hizi siasa za kutugawa Watanzania kikanda siyo afya kwa Taifa leo.
Siyo vyema kabisa kuendelea kushabikia na kuhuburi, ukanda,udini na ukabila, Wanasiasa tutumieni...
Hii siyo suprise kwangu ni utimilifu wa kile nilichokuwa nakifikiria, Lipumba ni moja kati ya watu ambao sikuwa na imani nao ndani na nje ya Ukawa! Katika safari ya Ukombozi watu wa aina hii huwa hawakosekani..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.