Majanga kweli Bongo ni Mengi, maelezo yako yana mkanganyiko,unaitaji uber mwenye No akupe uipige,alafu tena unadai huna simu umeibiwa , sasa unampigia kwa namna gani na je hapo ulipo kama una Access mpaka umeweza ingia jamii forum inamaanisha una simu nzuri tu,sasa mimi najiuliza maswali mengi...
Mwacheni msimtukane ,kila mtu kaumwa na uwezo wake na Taratibu zake ,najua Jamii Forum ni jukwaa la watu wazima na wanaojitambua na wenye kuwa na mawazo positive, haya matusi mnayomtukana huyu jamaa sioni kama yanaweza msaidia ,kama jibu la kumpa lilikosekana mngemwacha wajibizane na mhusika...
Kaka nimesoma Ujumbe wako ,umenigusa ila naomba na wewe nikulaumu jambo moja,Alipokuaga anakwenda kwa Mwanamume kumrejeshea pesa zake jioni,ulimruhusu kwa kumwamini vipi aende huko wakati ni mara yake ya tatu,isitoshe mwanamume mwenyewe aliyempa pesa humjui na hujui alikopeshwa kwa kigezo gani ...
Tatizo la watu wengi si wagunduzi wa mambo,kila anayefungu saloon ananyoa nywele za kichwani na ndevu,kwann wewe usigundue stayle yako ya kunyoa kwingine,?nywele zipo sehemu nyingi tu za mwili,jaribu hii itakusaidia na wateja utapata wengi sana. Kunyoa kule kuna lipa sana wakuu
Mh,ilikuwa inafanya mishe ya ujambazi nini,?maana hiyo bei utadhani ndio inatoka japan leo.hizo km 170 ingekuwa na mdomo ingesema bora ipumzishwe kwa amani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.