Forums
New Posts
Search forums
New Posts
New Posts
Latest activity
Members
Current visitors
Verified members
Log in
Register
Trending
Search
Search
Search titles only
By:
Latest activity
Register
Jamii Check
Stories of Change
Menu
Log in
Register
Navigation
More options
Change style
Contact us
Close Menu
Start Discussion
Staff Online
Fichua Uovu
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
Navigation
General Forums
Sports &
Entertainment
Education, Tech
& Professional
JF English Only
Forums
East African
Forums
Members Only
Stories of Change
JamiiCheck
Fichua Uovu
Search
Search results
Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq
America kukaa kando ni ndoto !! Ni kama mjomba kukwambia kuwa mama yako sio dada yangu !!!
kson m
Post #37
Friday at 6:06 AM
Forum:
International Forum
Serikali yarejesha Mikopo ya 10% ya kwa majaribio
Hiyo tumeelewa.. . UCHAGUZI umekaribia...lazima kuku watupiwe mahindi... !!
kson m
Post #5
Apr 16, 2024
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Serikali kutumia Tsh. Bilioni 190.57 kununua V8 mpya za Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Ujenzi wa Makazi na Utawala
Ni mwendelezo wa matumizi mabaya serikalini...hakuna lugha nyingine.
kson m
Post #75
Apr 16, 2024
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Hizi jeuri za fedha Maulid Kitenge anazitoa wapi?
Dada mange katoboa Siri !!! Wapo wawekezaji.... Mapato ya fedheha... Yaani kudanga... According to taarifa alizotunyetisha dada wa taifa !!
kson m
Post #80
Apr 6, 2024
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Mbunge wa Gairo, Shabiby ataka fedha za bima kwa wote zikatwe kwenye laini za simu
Kila mbunge angetoa nusu ya mapato wanayovuna wakiwa usingizini...... Wangestahili wapate milioni 5 na the rest zikatumike bima ya afya !!
kson m
Post #66
Apr 6, 2024
Forum:
Jukwaa la Siasa
Mbunge wa Gairo, Shabiby ataka fedha za bima kwa wote zikatwe kwenye laini za simu
Nilitaraji ataitaka serikali ijibane na pia iwabane wote waliofisidi michango ya bima na kusababisha kadhia hii.
kson m
Post #63
Apr 6, 2024
Forum:
Jukwaa la Siasa
Kanisa Katoliki laanzisha bima yake ya afya kwa ajili ya waumini wao baada ya kuona wanahangaika
W Wale 3000 aliyesema mkubwa mmoja kule zenj wamepelekwa na wakatiliki ??
kson m
Post #88
Apr 1, 2024
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Waandishi wa Habari Simiyu watangaza kutofanya kazi na DC Bariadi
Tanzania Kuna waandishi wa habari au watoa ripoti??
kson m
Post #17
Mar 23, 2024
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Dhambi ambazo huwezi tubu peke yako bila kushirikisha watumishi wa Mungu
Kuwasaidia wanaojihusisha na hayo mambo ili iwe rahisi kuwatongoza.... Ni hayo tu kwa Sasa. Mungu hahitaji dalali ili akuondolee dhambi !!
kson m
Post #599
Mar 17, 2024
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
ARUSHA: Mwalimu alimcharaza viboko 12 Mwanafunzi hadi kumpasua kiganja
2018 Hadi Leo ?! Unachokonoa Nini??
kson m
Post #123
Mar 3, 2024
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Shirika lipi la Serikali ni la ovyo nini kifanyike?
Baba wa ovyo atazaa watoto wa ovyo !! Tushughulike na watoto au mzazi ??
kson m
Post #14
Feb 22, 2024
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Lini wasiokunywa pombe wataheshimiwa bar?
Muulize dadako kama jamaa ana hormone za kike... Unataka ushahidi upi zaidi ?!
kson m
Post #86
Feb 16, 2024
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Kusomesha watoto shule za private ni matumizi mabaya ya fedha
Ulisagwa au ??
kson m
Post #100
Feb 10, 2024
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Kusomesha watoto shule za private ni matumizi mabaya ya fedha
Umeombwa mchango wa ada? Wamekuzuilia Nini wewe? Unapata hasara Gani jirani yako akimpeleka mwanae shule binafsi???
kson m
Post #99
Feb 10, 2024
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Wafadhili wamejenga Msikiti kwenye Eneo la shule ya sekondari inayomilikwa na serikali. Mkurugenzi wa Halmashauri ameuvunja
Kwa hiyo ??
kson m
Post #174
Feb 10, 2024
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Kero zilipaswa kutatuliwa na sekta husika, siyo mwenezi
Tatizo ni CCM imepoteza mwelekeo... Ni chama Cha wenye pesa Tena watawala. Mwananchi sio kipaumbele !
kson m
Post #22
Feb 10, 2024
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Nimekutana na matapeli leo asubuhi
Hata kitendo Cha KUINGIA kwenye gari Yao ulifanya kosa kubwa.
kson m
Post #64
Feb 8, 2024
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Kibaraghashia kitambulike kama vazi rasmi Mashuleni
Wanaenda kusoma au kufanya ibada ????
kson m
Post #87
Feb 2, 2024
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Serikali za miji zingekataza kufuga maeneo ya miji na majiji.
Wafugaji wameufuata mji au ni mji unawasengeasengea wafugaji ??
kson m
Post #14
Feb 2, 2024
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
A.Lusekelo( Mzee wa Upako, Pombe Si DHAMBI, ni kosa.
Hivyo divai ni pombe....
kson m
Post #146
Jan 20, 2024
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
1
2
3
…
Go to page
Go
25
Next
1 of 25
Go to page
Go
Next
Last
Search
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.
Accept
Learn more…
Back
Top
Bottom
Forums
New posts
Post thread
Back