Msirahisishe mambo namna hiyo. Viumbe hawa ni very influential. Acheni utani nyinyi....Na General Mboma aliyeutaka Ubunge Mbeya mjini naye alikuwa mhamasishaji? List ya wana CCM wanajeshi ni kubwa mno, inagusa hadi hawa walioingia nineteen ninety!
JK akoshwa na ziara ya Ivory Coast
*Awaandalia chakula maalumu Golden Tulip
*Ammwagia sifa Drogba, amkabidhi uzi wa Stars
*Awaombea watwae taji, aahidi Watz kuwashangilia
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, ameelezea kufurahishwa na ujio wa timu ya taifa ya Ivory...
Waberoya umefuliaaa. Toka zako kaanzisheni chama chenu cha wahuni na Mwenyekiti wako Zitto.
Mkakiite Chama Cha Demokrasia ya Kihuni (CHADEKI)
Mtapata wahuni wengi tu.
Usituandikie upuuzi humu.
Sikumbuki mara ya mwisho kutumia line ya voda ilikuwa lini....
anyway, wasiliana nao hao wezi wako kwa
General Line: +255 (0)754 705 000
Email: feedback@vodacom.co.tz
Fax: +255 (0)754 704 014
au dg@tcra.go.tz
JK anatisha wewe...usifanye mchezo na kile kidume! After all decion amwalike nani asimwalike nani liko kwa anayealika so hili swali hapa sio mahala pake. Mfuate ikuluuuuuuuuuuuu atakujibu au subiri ile forum ya kisanii ya Tido Mhando na Rais umuulize kwa sms au email
Mimi nadhani hututendei haki kutuuliza silly questions like what you have asked. Kwa kukusaidia naomba nikushauri hivi:-
Kamuulize Vasco Da Gama aka Mzee wa Kujibu Mapigo aka Mzee wa Kubembea aka Mzee wa Kuuza Sura aka Mzee wa Kuchekacheka.
Yupo jirani kabisa na iliko wizara inayoongozwa na...
Ni Alhaji Luteni Kanali Mstaafu, Katibu Kata mstaafu, Katibu tawala Mstaafu, Mkuu wa Wilaya Mstaafu, Mkuu wa Mkoa Mstaafu na sasa ni katibu mkuu wa chama cha Maulaji YUSUF RAJAB MAKAMBA aka Baba Januari na Sofia Mtoto wa Simba hawa pekee ndo wako timamu
Kimsingi simwelewi Mwakyembe. Kipindi kile alipokataa kuhojiwa alikuwa anaongea hadi povu linamtoka mdomoni kuwa hata wamsulubishe msalabani hatakubali kuhojiwa. Sasa kama alikubali kuhojiwa ndo nashangaa.
Haki ya nani siasa ni unafiki tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.