New force huwa wanakimbia sana na huwa hawatuheshimu tunaoendesha gari ndogo, wanapiga overtake hatarishi inabidi uwakwepe. Tusisingizie mwisho wa mwaka, ajali nyingi ni uzembe wa madereva.
Tatizo mnapenda kupinga kila kitu? Hiyo ni bara bara inayotoka Iringa mjini kupitia Mtera dam hadi Dodoma. Ilikuwa ya vumbi. Itarahisisha safari kati ya iringa Dom ambayo itakuwa kama 250 km tu. Hakuna haja ya kupita Moro tena ambayo ni zaidi ya 500 km. Viva JK.
Fuatilia historia. Timu ya Yanga ilianzishwa na Wazalendo Watanganyika. Simba (Ikijulikana kama Sunderland) ilianzishwa na weupe. Yanga ilikuwa na mchango mkubwa wakati wa kupigania uhuru kwani wazee wetu waliweza kukutana bola shida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.