Mkuu unatakiwa uwe unasoma vizuri , Ni wapi nimesema kuna waturuki wanafagia??" Nimesema kuna wanaosimamia hao wafagiaji wa kibongo" Mimi naufahamu huo mradi vizuri (Wewe unasimuliwa na rafiki). Nimekuwa kwenye camps zote hizo kuanzia ILALA,SOGA,KILOSA,GULWE,IHUMWA Na Sasa Zuzu na Bahi. I know...
Huu upuuzi nimeushuhudia hata kwenye miradi yote ya ujenzi hapa Tanzania inayo tekelezwa na makampuni kutoka nje... Eg. SGR nenda pale kama haujakuta hadi anae simamia wafanya usafi kama sio Mturuki??
Hakuna watu washamba nchi hii kama wakazi wa dar es salaam. HUwa wanajifanya wajuaji lakini ki uhalisia ni washamba kiwango kikubwa sana.
Unafiki wa kiwango cha Lami.
Hivi watu wengine wanafikiria kwa kutumia nini jamani?? au unafaidika nn na mfumo uliopo? WW jaribu kuangalia hata CCM wenyewe hawamtaki wamebaki wapiga mapambio wacahche sijui wa wapi?
Nahisi kwa hali ya maisha watu walio yaona kipindi hiki cha miaka mitano ya bwana huyu kwamba hakuna ajira kwa miaka 5 na biashara kudorola kwa miaka yote hiyo watakua wamejifunza jambo..
Kwa mujibu wa takwimu za sasa ni kwamba, elimu inapanda mara dufu kutoka mwaka 2015 mpaka hivi sasa 2020.
Kwa mtazamo huo ningetarajia kabisa watu wawe na uwezo angarau wa kuona mapungufu makubwa yaliotokea katika utawala wa miaka 5 ya bwana JPM. Tofauti na hilo wengi mamegeuka kuwa washabiki...
Hii kuna wakati ilisha wahi nitokea. Nilikua mkoani Tabora wakati flani, sasa nikaanzisha uhusiano na Mdada msusi wa Saloon moja pale mjini.Baada ya Muda kidogo nilihamisha majeshi kwa manzi mwingine niliekua nae jirani mtaani kwangu. Huyu msusi alifuatilia akwa anajua kila kitu kisha...
Mimi hii juzi imenikuta naifanay kumuhack binti kwa kutumia whatsap web dk 5 nyingi aka logout hata sikuona nilichotaka nifukunyue huko..hahha wadada sikuhizi ni wadadisi sana wa vijimambo
Mapenzi upofu. Nakumbuka siku moja nikiwa Kikazi Nchini Kenya nikawa na ujirani na mthudumu wa hotel nilio fikia, sasa kwakua nilikua nakaa pale kwa muda mrefu nikamtongoza. Kwa wao kama wahudumu hawaruhusiwi kufanya kulala pale kwakua ni eneo lao la kazi, mzee tukatoka mpaka home town kwake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.