Bwana azidi kumuinua maana ana hofu ya MUNGU ndo maana anayafanya haya,wasio na hofu ya MUNGU hata hapa watamzodoa nakuukataa ukweli, UKIMPENDA MUNGU,HAKI YAKE ITAKA NDANI YAKO,kudos RC MTAKA
kuna mtu alikuwa ananiuliza kwa haraka haraka jana na ikanifikirisha sana,eti kweli kama siasa na makongamano yake ukiachilia mbali 'amshaamsha' kama ilivyokuwa enzi za Mh Kikwete hivi hawa wanaohama sasa wangeendelea na kuhama na kujisifu saana kama ilivyo sasa? kama hamuamini zilruhusiwe muone...
nilikuwa naishi bugarika kipindi hicho na baadae igogo napafahamu sana hapo maana tulikuwa tunapita hapo pembeni mwa kijumba chake na lami iliikwepa hicho kijumba aisee ilishangaza sana sana,ni kweli bibi fisi story zake zinatisha lakn sisi wenyeji tulimzoea kawaida kabisa na wakati tunaenda...
hawa ndo sitaki kabisa kuwasikia nawadai sh 6000 toka 2012 mpaka leo najua ishagonga 100,000 mpaka wanilipe ndo narudisha line,kampuni hoi sana iliniudhi sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.