Wewe unazungumzia Matokeo, hujui root causes. CDF amefanya kazi yake ya kutufahamisha nia ovu ya Sukuma gang dhidi ya Mama Samia. Wakajisahau kuwa kama Mungu ameruhusu kifo kitokee yeye ndio anayeruhusu nani awe Rais
Mjadala wote huu unaonyesha JMT sio moja. Mfano Rais akiwa ni Mchagga, akifa akaenda kuzikwa Rukwa wala hutasikia makelele, Lakini ikitokea akataka akizikwe Chake Chake, kwanza wapemba wanaweza kukataa kutoa ardhi yao, na kama wakitoa yataibuka makelele kwa nini kazikwa Pemba. Mzee Mwinyi ni...
KKKT haipasuki, haisambaratiki. Ikibidi atapasuka yeye huyo uliyemtaja. Hata yeye anajua. Uzuri wake nyakati zimebadilika, watu wanaweza kutambua series of events. Wapo Kimya usidhani hawajui kinachoendelea. Acheni tumwabudu Mungu
Kweli aisee. Kuna dada mmoja hapa ukonga ana jina la kiislam lakini anatoa utumbo mpana kama zawadi. Nikamuuliza nilikutana nae kwenye sherehe ya harusi ya kiislam, wewe si muislam mbona unatoa sana kisoda? Akasema hajawahi kusoma dini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.