Ndg zangu wanaJF sitaki kusema kwamba namtetea Babu ila tu ifahamike kwamba, hapa duniani haijawahi kupatikana dawa ambayo inaweza kutibu watu wote kwa namna sawa. Miili ya binadamu inatofautiana sana katika mfumo mzima wa kinga na ndo maaana kuna baadhi ya watu hutibiwa kabisa na dawa fulani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.