Mwanzoni mwa Oparesheni hii Kulikuwa nw Mbwembwe nyingi Huko Ukrein Hadi Vibibi Kizee kushika Bunduki kuwa wataipigania Ukrein
Sasa Taarifa Inasema Zaidi ya Wanajeshi Wa Ukrein lakimoja 100k wametoroka Bila Taarifa huko Jeshini
lakini Dada hapa Kasema Hao ndio wale Walio kuwa wanakamatwa...
Hali Imekuwa Si Hali huko Kharkov
Wananchi wameambiwa Waondoke kwenye Mji Huo mkubwa na wapili Ukrein
Tayari Urusi Ameanza Kupiga Makombora ya FAB Kwenye Mpaka wa Sumy.
MUNGU IBARIKI URUSI 🇷🇺
"We advise civilians to leave Kharkov as soon as possible."
"Good job from the "North" group.
Get...
Urusi imeanza Kufanya Mashambulizi kwenye Minara ya Redio na Tv huko Kharkov
Huku hali Ya Wasiwasi Ukrein Ikiwa Juu kwani Kumekuwa na Viashiria kuwa Mwezi wa 5 Urusi imepanga Kuushambalia mjihuo
Presha Nikubwa huko Ukrein marabaads Yakupata taarifa kuwa Urusikaanza Kuondoa Vizuizi pamoja na Mabom Ya Ardhini Kwenye Mpaka wa Sumy na Kharkiv
wengi wanasema ndio Maandalizi ya Mwezi wa 5 Ya Urusi kufanya Mashambulizi Makali au Kutangaza Vita Kamili Kama Walivyo Kuwa Wakihofia.
Israel Anabebwa na Propaganda Tumejua Hana lolote
Amezoea Wavaa Ndala na Wasio na Vifaa vyakijeshi
https://twitter.com/uzmabatoolnaqvi/status/1781252713172312178?t=2svha0-2DXI6hUnAkqAiBA&s=19
Russian delegation in the UN Security Council left the meeting before Israel's speech.
Looks like the Israeli-Russian relations have broken down, and Russia is now a big fighter for the Palestinian state.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.