Juu ya hii mi nimejiridhisha zaidi, mfano nenda BOT, TRA, Balozini, n.k. Kinachoumiza zaidi watoto hawa wa viongozi hawafanyi kazi ni mizigo kwa Taasisi husika hata viongozi wa Taasisi husika hawawezi kuwachukulia hatua zozote kutokana na nafasi za wazazi wao, anza kwa kufuatilia walipo pale BOT...
Juu ya hii mi nimejiridhisha zaidi, mfano nenda BOT, TRA, Balozini, n.k. Kinachoumiza zaidi watoto hawa wa viongozi hawafanyi kazi ni mizigo kwa Taasisi husika hata viongozi wa Taasisi husika hawawezi kuwachukulia hatua zozote kutokana na nafasi za wazazi wao, anza kwa kufuatilia walipo pale BOT...
Baada ya CHADEMA kutangaza maandamano Jan 24, Mh RC Chalamila nae ametangaza kuwa siku ya tarehe 23 na 24 Januari kuwa siku za usafi utakaofanya na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.
Mimi nasema hivyo ni vitisho tu, kanyagieni hapo hapo msinyanyue mguu tupo pamoja na ninyi, maana hata sisi...
Nitoe masikitiko yangu kwenu LATRA, mmekasimiwa majukumu na Mhe Rais wetu ya kuratibu na kusimamia usafiri wa Nchi kavu lakini hamumtendei haki kabisa Rais wetu, maana mkishatoa hivyo vibali hamna muda wa kufuatilia kama mliowapa vibali hivyo kama wanazingatia masharti ya vibali hivyo!.
Hivi...
Maendeleo ya nchi huletwa na mifumo imara ya nchi yenye uwezo wa kusimamiana na kudhibitiana!. Usije ukategemea kuwa kuna mtu yeyote anaweza kukuletea Maendeleo bila kuwepo mifumo hiyo imara!.
My friend nchi yetu hakuna kitu inachokosa, Intellijensia ya uchumi tunayo iliyosheheni wataalam wabobezi!.
Tatizo tulilonalo maamzi mengi yanategemea msukumo wa kisiasa ambapo manyang'ani na wabinafsi walioshikiria hatamu ushauri wa kitaalam hufunikwa na kufanya yale yanayowanufaisha wao tu na...
Kijana Tundu ni mtu makini sana huwa halopoki tu bila kufanya utafiti, kumbuka huyo ni Wakili msomi na nguri wa sheria!.
Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.