(Kama ilivyoandikwa mtandaoni...)
Kilichotokea kwa sanduku la Agano ni swali ambalo linavutia sana wanatiolojia , wanafunzi wa Biblia, na wanaakiolojia kwa karne nyingi. Katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wake, Yosia, mfalme wa Yuda aliamuru waangalizi wa sanduku la Agano wairudishe hekalu...
Ni mamemo ya matumaini makubwa mno kutoka kwa Rais Biden, ni muda sasa wa marais wa kiafrica kukaa chini na kutafakari...kuachana na kutamka maneno matamu yenye matumaini ya kukuza demokrasia na utawala bora huku matendo yao yakiwa ni kinyume kabisa.
"The future belongs to those who make their...
Lissu karibu sana Tabara kwetu, wanyamwezi ni watu wakarimu mno..... hapa ndipo chimbuko la wapigania haki na demokrasia ya kweli walitokea hapa....
Kijiji cha Ipole Sikonge ndipo alipozaliwa na kuzikwa Mwanamapinduzi nguli... Oscar Kasangatumbo (R.IP) ambaye alikuwa miongoni mwa waasisi wa...
Mungu amewafumba mambo mengi ili mapenzi yake yatimie! Spiritual Powers huwa si za mchezo ndugu zangu. Wote tunashangaa huyu mtu aipenyaje penyaje kwenye vetting ya chama.
Kuna mjomba wangu tangu miaka ya 80 alianza kufuatilia hizi wanazosema ati mali za wajerumani walizoacha kwenye mahandaki baada ya vita kuu ya kwanza ya dunia - leo ni takribani miaka 40 senti tano hajawahi kupata though bado anaimani atakuja kupata huku akihangaika na matambiko ati ili mali...
Kukata tamaa ni dhambi kubwa (laana) jiepushe nayo kwa sababu ina tabia mbaya ya kurisisha kutoka kizazi kimoja hadi kingine. Pambana mpaka pumzi ya mwisho chief, hujui ni lini na ni wapi mlango wako wa kutokea ulipo.
Hata kama utaondoka hapa duniani bila kuupata mlango wa kutokea basi roho ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.