Mara nyingi wanaofanya hivi ndio kwanza wanaanza biashara.Binafsi nilikata matumizi yangu,nikasima na bei yangu lakini haukupita muda mshindani alidondoka.Jambo la pili ni kuangalia kuwekeza katika maeneo tofauti kiasi ambacho ukishuka huku,kule kunaku maintain.Haya mambo tunayo waswahili lakini...
Matusi, kutukana limekuwa jambo la kawaida mitaani na mitandaoni.
Ni ipi adhabu ya kutukana bila kujali wadhifa wa anayetukanwa?
Ni kipi mtu anatakiwa kufanya endapo atatukanwa?
Kuna kampeni kubwa inaendelea sehemu mbalimbali ambapo kuna wataalamu wanapita na kipimo cha kupima mwili mzima kwa 20,000.
Nina shauku ya kujua kutoka wizara ya Afya kuhusu msimamo wa serikali juu ya jambo hili.
Waziri Ummy, ikikupendeza tueleze.
Hakuna cha Magufuli mdogo.Chama ndicho inampa umaarufu kwa siku zinavyokwenda atakumbana na kiski hadharani ambacho kitamfaya ajitafakari.Anachofanya ni drama na kwa kuwa Watanzania wanapenda drama watakwenda kumsikiliza.Atakutana na Mtendaji wa serikali aliye ma msimamo na mbele ya hadhara...
TBC mpo serious kweli? Mnakata matangazo ya Bunge mnaweka shughuli za Mkuu wa Mkoa?
Unakata matangazo ya Bunge unatunganisha na shughuli za Mkuu wa Mkoa Mbeya, kweli?
Nimejaribu kuilipa NSSF kupitia app za NBC na CRDB banks lakini zote zinagoma.
Nimejaribu kuingia Tausi portal ,inazunguka tu.
Ni mimi tu au kuna mwingine kaliona hili?
Nape alijitokeza na kutishia wote waliouliza kuhusu alipo Makamu wa Rais. Kwa kipindi kifupi alipigwa spana Tweeter za kutosha.
Hazikuwa spana kavu bali na vifungu vya sheria na katiba na kidogo wakampekua hata mambo yake mengine. Ametulia!
Chalamila alijivika Uamiri Jeshi (kwa cheo cha...
Gereza ni sehemu ya kuwahfadhi watu ambao wameshindwa kuendana na jamii na ho wapo wa aina nyingi mpaka wauaji ni wengine wenye matendo maovu kabisa.Uasi ndani ya gereza unaweza sababisha watu hawa kutoroka.Naamini ni lazima wazuiaji wa fujo za gerezani wawe watu imara na wenye ujuzi wa kutosha...
Mohamed Janabi umeitendea haki elimu yako kwa kuwaelimisha Watanzania na walimwengu kuhusu magonjwa yasiyoambukiza ambayo mengi yameongezeka kutokana na mwenendo wetu wa Maisha.
Pamoja na kejeli na kawaida yetu waswahili kupuuza kila kitu mpaka kikukute alkini hujakata tamaa.Umetumia kila aina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.