1. Kubwa zaidi siwezi kuwa na mahusiano na watu wawili kwa wakati mmoja huwa najiuliza wanawake wenzangu wanawezaje kuwapanga hata watano Pia kuomba omba hela siwezi najisikia kama sio yaani.
2. Kwanza sina ticktok nawashangaa sana watu wazima wanaokesha kujiimbisha huko.
3. Kuzurula mitaani...
Haijatengenezwa hiyo mkuu ni code ya nigeria na Jana wanaija wamekula sana mamilioni huko. Sijatuma code huu ni mkeka wa dogo ninayemjua ye aliweka sh 10 ila angeweka hata jero tuu Saa hizi angekuwa milionea
Hoja yake ni kwamba nyumba isiwe na migogoro ya kukatika umeme mfano luku kuisha halafu wapangaji wengine wanakuwa wasumbufu kununua. Ukikatika iwe ni tanesco wamekata
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.