jipige ugoko wa kisigino kwa nguvu inatulia,pia fikiri kuoa kama unajiweza, au tafuta kademu hapo ofisini ikikomaa unakavuta piga moja faster kazi inaendelea(inategemea na mazingira ya ofisi yako) mm nakung'uta tuu ofisi burdaaaani
kama ni kweli kama mm ni Nyalandu Najiuzulu kulinda heshima yangu, nani Waziri sasa hapo au nani mkuu wa Wizara, its like unapinga maamuzi aliyotoa Rais siutakuwa ni kichaa wewe
this wont happen, they have not stopped in saudi arabia or any other muslim country such as afghanistan and pakistan who have the same laws in areas controlled by radicals! which is all most the whole country in all cases. plus they get a lot of money by gay people posting their persecution...
this wont happen, they have not stopped in saudi arabia or any other muslim country such as afghanistan and pakistan who have the same laws in areas controlled by radicals! which is all most the whole country in all cases. plus they get a lot of money by gay people posting their persecution...
acha umbulula wewe, tena tukipata tunakuhamishia vijijini huko, umbulula tuu, unamnyooshea mwenzako kidole wewe uko safii mbele za Mungu, acha unafiki usio na hakili wewe na chuki za kipumbavu na kutaka kukosanisha watu, ungekuwa na busara na sio unafiki ungeenda umwambie huyo bosi wako, pumbafff
Wadau
hili ongezeko la asimilia 272 la wabunge toka 43m mpaka 160m si halali wakati Huduma za msingi za wananchi wa kawaida ikienda vibaya wao wanajiongezea hivi ndio mnajua hamrudi tena ndio muifilisi nchi kabisa au? mmetuongezea makodi kibao sisi wafanyabiashara ili pesa muzile nyie...
nenda kafundishe au tafuta kazi kwa kutumia iyo degree yako au masters, usilete sifa kwenye interview oooh nina PHD, tunakukata tuu, so wewe weka iyo degree au masters inategemea na kazi inahitaji nini then huko huko mbele utaonesha iyo PHD yako, otherwise wewe ni academician nenda kafundishe
HABARI WADAU
Nahitaji Kiwanja kiwe na Tittle Deed na kisiwe chini ya square meters 1500, offer yangu kisizidi 20m, Matapeli msihangaike kwasababu hutopata kitu,Nitatumia mwanasheria wangu kudeal na wewe na atahakikisha na ardhi kama ni halali chako. na umbali uwe si zaidi ya 15kilometers kutoka...
Ya Mungu mpe Mungu na Ya Kaisari mpe Kaisari, wewe ndio naona unaanza kuchanganya udini na Siasa hapo, ningefurahi kama ungetufundisha maandika matakatifu ukapa Swawabu kuliko icho unachojaribu kukijenga, Pia waislamau kwa wakristo wote wanapenda uongozi bora, na wote ndio wanaochangia kuuupata...
hivi hakuna approved structure za hizi posho????? hii nchi mbona inaelekea pabaya sanaaa, wao ni private consultants mpaka walipwe kwa pale utakapoona inafaaa??? she&%$#%$#$$ kabisa hawa, huu ni wizi wa hali ya juuu, kwa mtindo huu JK na watendaji wako mnaifilisi hii nchi na kodi zetu, mm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.