Naomba nieleweshwe, airtel anawezaje kuwa mbia wa TTCL wakati na yeye anafanya biashara hiyo hiyo independently? Mbia gani anaweza kumsaidia mpinzani wake kibiashara afanikiwe?
makamu wa Rais Zanzibar Anasema kura za katiba mpya zilichakachuliwa. Waliopiga kura za siri sita walipiga za hapana, Ukawa za zanzibar 65, kura za hapana za wazi saba, pamoja na ya mwanasheria mkuu 1, Makka haiwezekani kupelekewa karatasi ya kupiga kura!
Maalim Seif: Katiba ya Sita na Chenge mahala pake zanzibar ni kwenye pipa la takataka. Anasema koti la muungano lilovaliwa na Tanganyika Limeongezewa urefua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.