Kwanza tujiulize kwa wale wanaomfahamu katika utumishi wake jeshini alikuwa je.
Mtu wa haki kwa kutenda mema au alitenda kama asiyefaa kwa husuda?
Tuanzie hapo ili kumjadili kwa haki.
Hebu wewe uliye naye semea manabii kama kina Abraham, Daud, Yakobo nk kuwa na mke zaidi ya mmoja hawakua naye?
Hupaswi kujificha kwenye ujuzi usio na msingi uliojengwa juu yake .
Fundisha ABC's za Mungu kupitia neno ambalo yeye ndilo hilo.
Hiyo ndiyo shauku kwetu sote tunaopenda kujifunza.
Umeongea mengi yalio na uhalisia ila hata hivyo kuna unayojichanganya.
Mfano ndoa za mitaala
Vipi kuhusu watu kama kina Daudi, Yakobo, Abraham nk hawakuwa manabii?
Hawakuwa wakiongozwa na Roho mtakatifu?
Ni wapi katika biblia palikataza mtu kuoa mke zaidi ya mmoja au kukemea hao kina Daudi kwa...
Duh et kanisa la Mungu limegeuka serikali juzijuzi?
Ndio maana nilitahadharisha mapema hili sii lile kanisa la mitume wa Yesu bali dhehebu la kwanza kujitengeneza nje ya lele kanisa.
Yaani usichojua ni kwamba vitabu vyote vilivyopo kwenye mkusanyiko kuanzia agano la kale hadi jipya hakuna mwandishi mrumi.
Pili utakapokuwa utaacha utoto kwa kujua kuwa dhehebu la kwanza kujitengeneza nje ya kanisa ni Rc na kupelekea mauaji rasmi kuanza dhidi ya mitume na wanafunzi wa Yesu...
Adamu aliumbwa kiumbe wa milele mwenye kumiliki ulimwengu zote mbili na kitawala.
Ni nini asili ya matumizi ya damu kwa uzao wa adamu iwe ni ulimwengu wa nuru au wa giza?
Haki ya kuishi ya mnyama yule anaepoteza uhai kwa ajili ya mwingine iko wapi maana uhai ni haki ya kila kiumbe?
Nchi hii haina mnyaturu mhindi.
Hiki ni kiwango kikubwa sana cha kutuona watanzania hatunazo.
Huyu mhindi baada ya kutuibia kwa mda mrefu kwa usaidizi wa watawala sasa amevimbiwa anaanza kututoboa macho kwa kidole.
Hawa watu ni wale wale
Rostamu - Tabora
Deuji - singida nk
Sasa kama kiongozi huoni aibu ya kuvaa saa mkononi ya Tsh 100+ mkononi katikati ya lindi la umasikini wa watu wako waliokosa fursa ya mlo mmoja tu kwa siku.
Itakuwa mali za huyu kiongozi za uficho achilia mbali za wazi ni za matrilioni ya shilingi.
Ni kiwango cha juu kabisa cha dalili ya mtu...
Huyu fatuma karume ni mnafiki na mpuuzi anaefikia kiwango cha juu kabisa cha usaliti.
Aliyekuwa akimjibu fatuma sii hata kiongozi wa ngazi yeyote huko chadema ila kwa sababu huyu bibi ameahidiwa ubunge wa viti maalumu na act ya zuberi ameamua kufanya kazi ya kipuuzi ya propaganda za 47 za ccm...
Naomba wenye kuelewa ni chaneli ipi na mda gani kupitia king'amuzi cha Azamtv wanaonyesha tamthilia ya brothers( Cardo Dalisay) kwa tafsiri ya kiswahili?
Ukiona waziri yeyote anaepewa maagizo na makonda ni drama na usanii kuhadaa umma.
Watakua washa fanya rehearsal pale jukwaani ni ku perform tu wakinufaika na ubumbuazi wa kiakili wa wengi wa watanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.