Mwenezi wa chama ndie mtu sahihi kutupa yaliyojili kikaoni ila labda iwe jamaa anakuja kutoa kauli ya kugh'atuka chamani au amepewa agizo la kuja kutengua kauli zake tata.
Jamaa
Jamaa kaehuka masikini hata hajui kazi ya ukuu wa mkoa aliyopewa ni ipi.
Maandiko matakatifu hayajawahi kukosea.
Ukimwaga damu ya mtu huwa inakulilia kutoka mavumbini ikidai kisasi kwa Muumba.
Damu ya kina Ben saa8 na za wengine zinamlilia kutoka mavumbini.
Magu alimtema ukuu wa mkoa...
1 Timotheo 2:12-13
[12]Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha, wala kumtawala mwanamume, bali awe katika utulivu.
But I suffer not a woman to teach, nor to usurp authority over the man, but to be in silence.
[13]Kwa maana Adamu ndiye aliyeumbwa kwanza, na Hawa baadaye.
For Adam was first formed...
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imemwekea vikwazo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Christian Makonda kwa madai ya kuhusika katika uvunjifu kamili wa haki za binadamu na tuhuma nyingine. Pia vikwazo hivyo amewekewa mke wake Makonda, Mary Felix Massenge.
Taarifa iliotolewa Ijumaa na wizara ya...
Ole wenu arusha na viunga vyake, kwa maana yule muuaji aliyesababisha nyumba nyingi kuwa na matanga ya wototo wao akiwa RC Dar ameletwa kwenu.
Ni heri kwenu mwenye ng" ombe, mchicha, bangi ya kisimiri nk muviuze mnunue panga za kujilinda wenyewe na wana wenu.
Eti promota wa nyimbo za injili ,tamasha la pasaka?
Mkiambiwa dini ya ukristo ni kiota cha kile ndege mchafu muwe mnakubali.
Wezi kwa utapeli, waganga na wachawi , wapiga deal na watawala wamejificha kwenye dini.
Waliosoma saikolojia wanafahamu fika kuwa mtu huzungumzia jambo kwa ujuzi wake kama amelishiriki.
Pole ndg yangu kwa hayo mavitu energy na mandazi.
Hata hivyo bado uko juu kwa kuweza kuvipata. Kuna ndg zako hata huo uwezo hawana. wanashindia maji ya kidimbwi na kipande cha mhogo.
Kwanza tujiulize kwa wale wanaomfahamu katika utumishi wake jeshini alikuwa je.
Mtu wa haki kwa kutenda mema au alitenda kama asiyefaa kwa husuda?
Tuanzie hapo ili kumjadili kwa haki.
Hebu wewe uliye naye semea manabii kama kina Abraham, Daud, Yakobo nk kuwa na mke zaidi ya mmoja hawakua naye?
Hupaswi kujificha kwenye ujuzi usio na msingi uliojengwa juu yake .
Fundisha ABC's za Mungu kupitia neno ambalo yeye ndilo hilo.
Hiyo ndiyo shauku kwetu sote tunaopenda kujifunza.
Umeongea mengi yalio na uhalisia ila hata hivyo kuna unayojichanganya.
Mfano ndoa za mitaala
Vipi kuhusu watu kama kina Daudi, Yakobo, Abraham nk hawakuwa manabii?
Hawakuwa wakiongozwa na Roho mtakatifu?
Ni wapi katika biblia palikataza mtu kuoa mke zaidi ya mmoja au kukemea hao kina Daudi kwa...
Duh et kanisa la Mungu limegeuka serikali juzijuzi?
Ndio maana nilitahadharisha mapema hili sii lile kanisa la mitume wa Yesu bali dhehebu la kwanza kujitengeneza nje ya lele kanisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.