Sijawhi kuona sura yeyote inaonyesha kuwa Mwezi Tisa ni shetani kwenye biblia . Mungu Miezi yote ni Yake tusimpe nafasi shetani katika maisha yetu. RIP
Tambwe sio lulu kama unavyodhania. Ni msomi wa form 4 alimaliza kinondoni secondari 1980. Alifanikiwa kupata zero. Ni msanii wa mjini waliojiingiza kwenye siasa . Hata kauli zake anazotoa hazina nguvu. Kwa sababu nchi inaongozwa kisanii ndio maana wasanii kama yeye wanapata nafasi ndani ya chama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.