Search results

  1. M

    Malecela: kuweka mihula kwa wabunge ni kukiuka Demokrasia

    . Mitoto ya wakubwa bwana! taabu sanaa. Sasa hili lina msifia baba yake kuwa atakuwa rondon ama paris or new york?. Sasa hiyo ndiyo nini? kwamba ndiyo ajazeeka?. Kazi kweli kweli.
  2. M

    Malecela: kuweka mihula kwa wabunge ni kukiuka Demokrasia

    . Jamani Mod.Mko wapi ? Huyu Bwana mbona post zake nyingi anatukana na mnamwangalia tu au yeye ndiye mwenye hii JF?. Tumeshuhudia Thread nyingi zinazomhusu John Malecela huyu fmes anatukana watu na hakuna ata wa kumfungia.Kama yeye ndiye mwenye hii JF Basi tuambiwe. Tafadhali jamani...
  3. M

    Malecela: kuweka mihula kwa wabunge ni kukiuka Demokrasia

    Angalia hili nao jinga na pumba zake. Vijana waende?,watamtoa kweli huyu mzee na pesa zake kutoka kwa wale mafisadi wahindi waliomchangia kwenye harusi yake?. Yeye achie ngazi na kuwachia vijana. Acha ushabiki wa kijinga na kama hauna cha kuandika nenda kalale. pumba! pumba! pumba!
  4. M

    Kumwagwa Kwa Fedha za Ufisadi Majimboni: Wabunge "Wapambanaji" Acheni Siasa!

    . Ndugu, Hauelewi kiswahili?.Umeambiwa sema.Wapi na ni akina nani?.Tumechoka na maneno ya uvumi na umbea.Huu ni ukumbi wa wazi na kama alivyosema aliyeleta hii thread. Wewe tueleze hizo pesa walimpa nani?. Sawa RA na EL Hawapendi watu kama Mwakyembe arudi bungeni,lakini kwa upande mwingine...
  5. M

    Kubenea na siasa za Kyela

    . Mkuu Sam. 1.Yule mjinga anayejiita Mwafrika or Solomon David or Mzee Mwanakijiji amesema hii ya Mwakalinga ni Low level na hivyo Kubenea hawezi kuja kuijibu. 2.Kwamba alijibu ya Zito kutokana na kuwa ilikuwa high Level.Ndiyo msomi huyo na anatumia muda wake mwingi kuikosoa serikali uku...
  6. M

    Katiba ibadilishwe? Kikwete awe Rais wa Maisha!

    , Na wewe tumechoka na ujinga wako sasa. kama unaona vipi seti mambo mengine kwenye mtandao, rudi bongo na ingia kwenye siasa. umekuwa mzushi sana bro na wivu kibao. punguza domo.
  7. M

    Kubenea na siasa za Kyela

    . Mwaafrika. Hakuna aliyekosa la kuongea na wala hatutafuti adui mpya. Tunachosema hapa,kwann huyo kubenea asijitokeze kujibu shutuma za taarifa za uzushi?. Wewe mwenyewe unaadika kisehemu kwenye gazeti la Mwanahalisi,kwanini usimshauri mshikaji wako kuachana na ufisadi huu wa kupewa pesa na...
  8. M

    Kubenea na siasa za Kyela

    Mkuu Solomon David. Ushauri wa bure Nenda Darasan kaka.Unachekesha. Ni Lucent na sio Lucient
  9. M

    Kubenea na siasa za Kyela

    Balantanda. Utakuwa kama wafuasi wa Kibwetele wa Uganda.Waliomsubiri sana yesu wakiamini atakuja na mwisho wakaamua kujichoma wenyewe. Hiyo taarifa imepikwa kila sehemu na hana cha kujitetea. Mwandishi makini ni yule anaye balance uandishi wa habari zake .Mwakalinga tunaye hapa muda wote na ni...
  10. M

    Kubenea na siasa za Kyela

    . Fmes, Kubenea hawawezi kujitokeza kujibu alichoandika.Atajibu nini na taarifa hizi za majungu?. Hapa tunaanza kukosa imani kuwa kumbe ata hawa mafisadi wanasingiziwa tu. Kwa kusisitiza zaidi anasema alichoandika kuhusu kyela ni uchunguzi wa muda mrefu. Tumwamini vipi mtu huyu na gazeti lake?
  11. M

    Kubenea na siasa za Kyela

    . Good fms!.ajitokeze.nafikiri sasa imefikia muda watu wajulikane kwa majina yao halisi.
  12. M

    Mwakyembe Arukiwa Na Wasomi

    . Ndugu Magezi. Kweli unajua kuandika pumba.na nafikiri wewe ni pumba pia.
  13. M

    Mwakyembe Arukiwa Na Wasomi

    Hizi pumba. Mbona juzi kwenye Kongamano pale chuo kikuu baado analalamika kuwa si haki wabunge kuhojiwa?.Sasa kanuni gani za bunge?
  14. M

    Dr. Mwakyembe Vs. TAKUKURU

    . Jana kwenye Kongamano,anasema kuna wabunge zaidi ya 300 na magazeti yanaandika habari yake yeye tu kama amehojiwa au hapana, kwa nini?Jibu analo yeye mwenyewe kuwa kwasababu alikahidi kuhojiwa.
  15. M

    Dr. Mwakyembe Vs. TAKUKURU

    Mwanasheria ze comedy
  16. M

    Dr. Mwakyembe Vs. TAKUKURU

    . Huyo kamanda wa vita au ni njaa tu inamsumbua.
  17. M

    Dr. Mwakyembe Vs. TAKUKURU

    . Afadhali yaliyomkuta Sendeka.Yaliyomkuta marehemu Kolimba je?
  18. M

    Dr. Mwakyembe Vs. TAKUKURU

    . Mkuu wangu Mpenda tz. Heshima mbele.Unashangaza sana mzee wangu.kama posho mbili zimeenea serikalini kwa hiyo dawa ni kuzihalalisha?hehehe.Kwa mtaji huu kweli tutafika?
  19. M

    Dr. Mwakyembe Vs. TAKUKURU

    . Lakini Mwakyembe alipoitwa mara ya kwanza na kukataa kuhojiwa,Hakukuwa na kikao chochote cha Bunge kilichokuwa kikiendelea..Kama alivyofafanua yeye mwenyewe kuwa alikahidi kutokanna na kwamba hakuona sababu yeyote ya kuhojiwa.
  20. M

    Elimu ya Makamba

    . Mbona ata yule mbunge kutoka kyela naye anatukana hivyohivyo nayeye ni Dr?.
Back
Top Bottom