Hili swala la DECI halifichiki kabisa .kama kweli hakuna mkono wa serikali hapo kwanini pesa walizochukuwa hawajazirudisha.
kama ndivyo Rais mbona hajawahi kutolea tamko ?
Je hafahamu kwamba watu wa hali ya chini ndio walioumia?
Nakubalia kabisa DECI ni kombora la Dr SLAA ili wananchi wapate...
lakini JK anayodini yake mbona aliweza kuingiza moja ya ilanii ya uchaguzi katika ccm yaani maakama ya kazi ili wajipatie wafuasi .
Vipi hapo unasemaje.
Je kuna mgombea asiye na dini ?.
Na kama yupo ni nani?
mzizimkavu hapo nimekupata sana kwa huo ufafanuzi .Wewe sio mzizi tu bali dawa pia.
Sasa swali mbona hujasema kila dawa inatibu nini?kama kuna mtu anajua atupe hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.