tatizo hapo sio cv yake mimi naona tatizo humu tumegeuza uwanja wa utani,tuwe serious na mambo yanayofanyika humu kama kusudio la kuanzishwa kwake.Wenzetu wanapata mafanikio kupitia blogu kama hizi simply because hawafanyi mzaa humu.yawezekana kweli kuna watu wanatafuta wachumba wa kweli lakini...
Mungu ameniletea kwenye JF hata juzi nimekataliwa na mchumba tatizo langu mimi mhaya kama utaweza kuendana na utamaduni wao tuwasiliane mapema na mimi ni mfuasi wa dini hiyihiyo na nina kadegree ka uhandisi kamoja.
Mimi nafikiri wafanye kazi za kisiasa kwa sababu hizo firm zao zinawanyima watu wengine fursa kwa vile hawana ubavu wa kushindana nao katika kutafuta kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.