Jiangalie bwa mdogo huo muda ambao upo loose hebu check ishu zingine za kukuingizia kipato nje na kuajiriwa....just expand your views kihivyo siku zote fikiria kutoka kwenye huu utumwa wa kuajiriwa sio ishuu kama vp find capital kupitia hiyo kazi ulionayo...au vp!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.