Ex- Fisadi na wachangiaji wengine
Kwangu, naona mawazo yenu, ni mazuri mno. Nilitarajia kwamba nitapata changamoto ya kutosha kwenu. Ninathamini mawazo yenu yote. Hata hivyo special thanks to Ex-Fisadi, ninahitaji comments zitakazo nipatia changamoto kama za huyu ndugu. Comments za kina...
Ndg zangu wana JF, ninaishi Mwanza, na ni mzaliwa wa mkoa wa Rukwa. Nimesoma thread inayohusu Mrema na Kimaro kule Vunjo; malumbano yao yameibua kitu ndani mwangu, kile nilichokuwa nikikitamani miaka mingi, yaani ukombozi wa jimbo la Kwela. Nimeguswa na kuelewa kwamba siyo tu vunjo inayokaliwa...
NI MTAZAMO WANGU TU!!!!!.
Mtazame Kingunge: Wa kuteuliwa na Mh Rais!!!
Mtazame Simba: Wa kuteuliwa na Rais! Au siyo? Kama analo jimbo mnijuvye!
Tazama michango ya busara zao hewani! Hapo Mhhhhh. Sisemi wote wa kuteuliwa ni wabovu, lakini tujaribu kutathimini juu ya wabunge wa jinsi hii...
Mh Mbunge anapokalia jimbo kwa zaidi ya miaka 30, halafu hakuna lolote la maana alilolifanya! Je! kuna yeyote anaweza kunisaidia kuelewa kama chama tawala kina utaratibu wa kupima utendaji kazi wa Wabunge wake katika ngazi ya jimbo? Je! kuna namna yoyote ambayo mwananchi anaweza kumwajibisha...
Quote" 90% of bad leaders are selected by good citizens who does not vote". Tuyaonapo haya ya akina Simba tufahamu kwamba watu wengi wenye ufahamu mzuri hawajitokezi kuwakanya kufikia hatua ya kupewa nafasi nyeti kama hii aliyo nayo.
Abraham Linoln alifika mahali akatamka maneno haya:" If you...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.