Polisi walienda kutekeleza hati ya ukamataji ya mahakama. Kuna mmama hapo kaenda na mtoto mdogo wa kike anaishi humo hafanyi shughuli yoyote wanatumikishwa tu na mfalme. Mume kaenda mahakamani kuomba talaka na custody ya mtoto ila huyo mke amegoma hatambui mahakama. Ndo Polisi walimfuata...
2005 Kevin Berthia alienda kwenye Daraja la Golden Gate kukatisha maisha yake. Alimkuta Afisa Kevin lindo, Aliishia kuongea nae kuhusu maisha yake. Miaka 10 baadaye wamekutana kwenye daraja lile lile katika hali nzuri.
Halafu watu wengi wanapiga hesabu rahisi kwamba ukigawanya kwa 7 inakuja mil4.8 hivi wanashau hiyo chain hawako 7 tu. Kuna ambao wamepenya chekeche(washirika wengine) wanaolamba vimilion au laki5 hivi kwahiyo inapungua
Hao watendaji wenyewe pengine walikua na Mil 2 tu kila mmoja
Yaani nilipoona hadi mkuu wa Intelejensia yuko nyavuni kw eligible kisu kimekuta mfupa
Hawa ndo "monitors" kwa mambo ya ndani ya jeshi na ndio huwa wanasaidia watu pale "mpelelezi anapotembea na ushahidi mfukoni"
Aiseee
Imetrend kumbe wamemkumbuka???
NJE YA MADA
Embu anayejua aniambie kuhusu Aina Maheda huyu mdada bibi mrembo wa wakati huo ilikuaje kuhusu maisha yake na sasa yuko wapi?
Mkuu wa wilaya anatumia ST(STK....STJ...STL nk) sana sana wengine wanatumiaga (wnaazima???) Za miradi DFP.....hata kipindi fulani nimemuona Mkuu wa Mkoa wa Dodoma muda mrefu anatumia DFPA mara nyingi huwa wanafanya hivyo kama ile yakwake inashida
Na mimi ndo nnavyoelewa hivo pia nadhani mtoa mada hakulijua hilo
Mara nyingi tu nawaona madaktari (wa hospitali za wilaya) wakipanda kizimbani kuelezea ripoti zao haswa kesi za mauaji (Post mortem report /Autopsy report) Na zile za ubakaji
Ambazo huwa wanaombwa Na Polisi kufanya uchunguzi...
Songea. Rubani Samwel Gibuyu aliyekuwa akirusha ndege aina ya BatHawk yenye numba za usajili 5H-WXO inayomilikiwa na Shirika lisilo la kiserikali (Ngo) ya Protectors Area Management Solution Foundation (PAMS Foundation) anadaiwa kupotea kwa muda wa siku 11.
Taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Wilaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.