Very bright you are mkuu. Mlolongo wa pf3 ndio umemuua huyo binti innocent. Kunahitajika bunge kurekebisha sheria au kusaidia kurekebisha utaratibu huu. Yaani mgonjwa anazidiwa watu wanawaza pf3!! This is sh.it.
Nafikiri aliyeleta thread hajaenda shule kabisa na ana wivu na watu waliosoma. Ajue kuwa wasomi dunioni kote ndio huongoza kwa kuwa na stable and sustainable income and thus life.
Mleta mada jifunze kuwa biashara si hii tu unayojua ya kufanya uchuuzi, yani, buy and sell. Unaposoma ukaajiriwa...
siku hiyo barabara ikipanuliwa ikawa two lanes each side, je huo mzani utabomolewa tena!!!? kwa nini wasingeujenga mbali kidogo ili kuepusha gharama za kuhamisha hamisha wakati wa upanuzi wa hiyo barabara ambao tunasikia uko kwenye mipango ya fast lane to chalinze.
Huo ni uongo, foleni ipo ubungo kama kawaida na itaweza kuongezeka zaidi. Mara nyingi Dar jumapili kunakuwa hakuna foleni kubwa kulinganisha na siku zingine.
Ni mpaka pale hao ccm wanaojifanya wanaakili watakapopata kujua kutumia maoni ya wataalam ndo foleni itapungua.
Kuna haja gani ya kuijadili bajeti na kutumia fedha kwa takribani wiki mbili wakati wabunge hawana ubavu wa kuikataa hiyo bajeti?
je katiba mpya ime address hili tatizo?
Sasa wakipulizia dawa mbu wote wafe wazungu wao watauza dawa za malaria wapi?
wenzio wapo kimaslahi zaidi. Ndo maana wako tayari kupambana na malaria kwa kuleta dawa za kunywa na sio dawa za kuua mazalia ya mbu nchini. Wewe unaona vituo vya utafiti wa afya ni vingi na vyote vinapewa pesa na hao...
Nanyi mnawasikilizaje hao watoto wadogo wa vyuo vya dotcom!!!! Wakishapewa baadhi vihela vya kuhongea videmu vyao na kunywea bia wanachanganyikiwa na kuropoka. Kama wanahisi wana akili basi wauleze umma kitaalamu kwanini wanataka serikali mbili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.