Nashangaa na mimi!
Kweli kama amekubali kufunga safari koote, then anajuja kunisemea hapa??
Sijapenda hata kidogo...[emoji32][emoji32][emoji32][emoji32]
Removal of, or damage to highly sensitive genital tissue, especially the clitoris, may affect sexual sensitivity and lead to sexual problems, such as decreased sexual desire and pleasure, pain during sex, difficulty during penetration, decreased lubrication during intercourse, reduced frequency...
Tunaweza kuongea maneno meeeengi, lakini ili tuwe na suluhu ya kudumu tunahitaji STRONG INSTITUTIONS ambazo uendeshaji wake hauhitaji favour ya mtu mmoja moja (culture of impunities). Tunaweza kufika hapo tu pindi rasimu ya Jaji Warioba/Katiba ya wananchi itakapo asisiwa tofauti na hapo...
Wakati mwingine huwa natafakari kuwa "hapa kazi tu" ni kauli mbiu iliyobeba maono gani? Nawaza tu kwa sauti....
Afadhali hata ile ya JK "maisha bora kwa kila mtanzania", hii walau ina maono flani na nini kinatakiwa kuwa accomplished hata kama hatukuona hayo maisha bora.
Eti hapa kazi...
Hili swala la hereni hata mi nilikuwa miongoni mwa watu ambao walikuwa kinyume kabisa lakini nikaja kufanya uchunguzi na kugundua kuwa makabila mengi ya kiafrika wanaume kwa wanawake tulikuwa tunavaa hereni kabla na hata baada ya ukoloni. Hata shanga za kiunoni zinavaliwa na wanawake na wanaume...
Ni wazi kuwa kuna hofu kuu imetanda ndani ya CCM, juzi jumapili nilikuwa Korogwe kwa mzee mmoja kiongozi wa CCM Wilaya ktk nafasi nyeti. Hakuwa ananifahamu mimi na mi nilkwenda kikazi kwaajili ya kutumia jengo lake mmojawapo kwaajili ya kufungua ofisi yetu hapo.
Kwakweli amesikitika sana kwa...
Getting a job is difficult enough as it is. When you dont have the necessary work experience to get the kinds of jobs you want, it is even more difficult. The problem is that many of us look at a job ad and know that we could fill that role in a second and do it well, but we are not technically...
Kama Mtanzania mzalendo naona ni taarifa nzuri ila bado sijaona connection kati ya ulinzi ulioanza juzijuzi tu na kuongoza kwa utalii kama nchi.
Je watalii walikuwa wangapi na wameongezeka kwa kiasi gani kwasababu ya kuongezeka kwa ulinzi au kuundwa kwa mamlaka ya wanyama pori. Je kuongoza huko...
Kwa bahati nzuri nilirekodi mwanzo mwisho tuivosomewa.....nikaona huyu pengo hana network na wenzake. Mi ni mkatoliki ila naona pengo anazeeka vibaya pamoja na mwenzake Kilaini. Hiwezekaani tamko litolewe na TEC yeye akiwa miongoni mwao alafu anakuja kusema haikuwa sahihi au wamekwenda mbali...
........Mi nadhani kwa mama Tibaijuka kusema kuwa Mil 10 ni za mboga, maana yake ni nzito saana. Tafsiri yake ni kuwa pesa alizopata ni cha mtoto lakini kuna wengine wamepewa pesa nyingi lakini wanamfanya kondoo wa sadaka. Kimsingi ni vile tu huwezi kujitetea kwa kwenda kueleza makosa ya wenzako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.