Habari zenu waheshimiwa
Hili swala ni interesting sana kwa sababu la kwamba lipo hapo toka enzi. Uongo hautaacha kuwepo so long as binaadamu anaexist. Ninge omba kabla hatuja tafuta tiba ya uongo na jinsi ya kuweka wazi uongo tufafanue uongo maanake kuna wongo wa kila aina. Kwa mfano:
1.kuna...
Habari zenu waheshimiwa!
Swali:
Hivi ukichukua hii ethanol na ukiiweka kwenye mashine inayotumia dizeli itafanya kazi ?
Kama itafanya kazi basi kweli sisi tumelala. Lakini sasa labda kuna solution.
Hivi mnataka atoe mifano mingapi? Au fakts ngapi? Umri wake sio issue hapa hata kama yeye ni mzee wa kutupa lakini fakts ziko pale pale: uzushi na uongo tuache. kuparamia watu bila facts tuache. mna paramia watu bila kua na info kamili ni kutafuta umbeya. Wewe unatafuta data za mku wa usalamaa...
Quote: "FD wacha kupoteza muda wako kwanza anagalia jina lake na maneno yake then utajua akili yake inaelekea wapi ni wale wale ? Siku zoote wanasoma tu ila ukigusha interest zao wanazuka sasa tukate issue mwache huyu kesha dharaulika kumjibu ni kumpa kichwa achana naye tuendelee na issue hapa"...
Sawa Chifu, kama hii siyo dharau sijui ni nini. Hata hivyo nashukuru, lakini msimamo wangu upo pale pale. Mpate fakts sawa sawa. halafu ndio kuzungumza, kuto kujibu sio kwamba kusaidia kitu. Mie sina ugomvi na mtu ila nasema musiwe waoga wa kutetea haki, kwani siwe wote chifu ni watu na hukutana...
Habari Fikira duni,
Ahsante sana kwa kunielimisha. Mie kitu ambacho kinasikitisha ni kwamba fakts zilizotolewa zilikua si za kweli sasa kama mtoa fakts kwanza amekosea majina, pili mda ambao anatoa si wakweli. Mie nitachukulia kila anachotoa si cha kweli.
Maendeleo yanajengwa na ukweli kama...
Acheni uongo na majungu, hizi ni fikira za umasikini wa akili. Radhia hakuwepo London pamoja na Othman, wala Othman hawezi kufanya vitu kama hivyo. Na amina hafanyi kazi ubalozini. Kwanini mna tabia kama hiyo. Zungumzeni mamabo yanayo eleweka kuliko haya majungu na uwongo. Leteni maendeleo...
kwanza wakati othman yupo ubalozini Radhia hakuwepo, halafu Amina siyo Radhia- ndiyo ni ndugu lakini ni watu tofauti. Amina hana uhusiano wowote na ubalozini na kama unataka ushaidi mie naweza kukupa jina langu na email yangu na wapi naashi. Jamani acheni uongo na majungu kama haya toeni facts...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.