Nimesubiri kwa muda mrefu sana nikijua nitachaguliwa mpaka muda wa kuapply vyuo umepita, jana majina yametoka chaajabu jina langu halipo na ukizingatia nimekaa miaka ming sana nyumban ualimu ndo ilikuwa tegemeo kwangu,
Najiuliza why me?
Habar zenu wadau,,ndugu yangu amemaliza 4m4 mwaka 2012 alipata div4 ya points26,,civ-D, engl-D, geo-D, kisw-C, histor-C, chem-D, bios-D, math-F..JE nauliza kwa matokeo haya anaweza pata nafac DIT? na course ipi inaweza kumfaa??
Inaelezwa kuwa benki ya mbegu za kiume itatatua haja za uzazi
Benki ya Taifa ya mbegu za kiume inatarajiwa kuanzishwa nchini Uingereza kuondokana na tatizo la upungufu wa mbegu hizo.
Wapenzi wa jinsia ya kiume na kike , wale wa jinsia moja pia wanawake wasio na wenza watanufaika na huduma hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.